Yanga waliingia uwanjani kwa kuidharau Simba

Yanga waliingia uwanjani kwa kuidharau Simba

Tatizo wachezaji na mashabiki wa utopolo wameingia kwenye mfumo wa msemaji wao badala ya mfumo wa kocha. Halafu kocha analalamikia refa.
Nyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaaa hadi baas.
 
Like it or Not......
Yanga hachukui Ubingwa.
Atafungwa na Singida away, ata draw na Mbeya City........
Baada ya hapo habari zinakuwa Nyingine kabisa.
Sijui ni nani kawahakikishia kuwa wao ni Mabingwa.
Naona ata kocha wao anasema Wao ni mabingwa.
Kwa kweli iwe hivyoooo.
 
1681716078701.png
 
Yanga kufungwa na timu ya yule waziri wa noti si rahisi maana lile ni tawi lao
 
Nyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaaa hadi baas.
Na Baleke angefunga pale jamaa angeongea hadi Kinyakyusa
 
Like it or Not......
Yanga hachukui Ubingwa.
Atafungwa na Singida away, ata draw na Mbeya City........
Baada ya hapo habari zinakuwa Nyingine kabisa.
Sijui ni nani kawahakikishia kuwa wao ni Mabingwa.
Naona ata kocha wao anasema Wao ni mabingwa.
Singida ni tawi lao wataachiwa, ila kule Mbeya wanapoenda kumalizia ligi ndipo wanaacha ubingwa ili bingwa wa ukweli aliyepo ligi ya mabingwa abebe ubingwa. Au nasema uongo jamani?
 
Nyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaaa hadi baas.
Sambaloketo kamfanya mara 2 (Vipers na Simba) halafu Yanga kaifanya mara 3 (APR, Vipers na Simba) .
 
Mechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.

Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.

Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.

Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.
Acha ushabiki maandaz ww

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Singida ni tawi lao wataachiwa, ila kule Mbeya wanapoenda kumalizia ligi ndipo wanaacha ubingwa ili bingwa wa ukweli aliyepo ligi ya mabingwa abebe ubingwa. Au nasema uongo jamani?
😂😂 ubingwa wanauacha Mbeya...
 
Mechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.

Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.

Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.

Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.
Viongozi wa Yanga waache kupoteza mda katika kushawishi vijana wadogo wasilimu, wajikite kwenye mpira tu. Ona jana tumefungwa na Enock na Denis!
 
Hv hii hoja ya kuidharau inatoka wapi
Mm naona goli lile la mapema lilitutoa mchezon,ila kama gemu ingeenda dk 15 bila bila hii hoja ya dharau isingekuwepo
 
Sambaloketo kamfanya mara 2 (Vipers na Simba) halafu Yanga kaifanya mara 3 (APR, Vipers na Simba) .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.

Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.

Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.

Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.
Walifikiri wana cheza na AS Monastir auTp Mazembe ?

Wanatakiwa wajue Simba inacheza CAF Champions league sio kombe la looser
 
Back
Top Bottom