Nyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"Tatizo wachezaji na mashabiki wa utopolo wameingia kwenye mfumo wa msemaji wao badala ya mfumo wa kocha. Halafu kocha analalamikia refa.
Kwa kweli iwe hivyoooo.Like it or Not......
Yanga hachukui Ubingwa.
Atafungwa na Singida away, ata draw na Mbeya City........
Baada ya hapo habari zinakuwa Nyingine kabisa.
Sijui ni nani kawahakikishia kuwa wao ni Mabingwa.
Naona ata kocha wao anasema Wao ni mabingwa.
Na Baleke angefunga pale jamaa angeongea hadi KinyakyusaNyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaaa hadi baas.
Singida ni tawi lao wataachiwa, ila kule Mbeya wanapoenda kumalizia ligi ndipo wanaacha ubingwa ili bingwa wa ukweli aliyepo ligi ya mabingwa abebe ubingwa. Au nasema uongo jamani?Like it or Not......
Yanga hachukui Ubingwa.
Atafungwa na Singida away, ata draw na Mbeya City........
Baada ya hapo habari zinakuwa Nyingine kabisa.
Sijui ni nani kawahakikishia kuwa wao ni Mabingwa.
Naona ata kocha wao anasema Wao ni mabingwa.
Sambaloketo kamfanya mara 2 (Vipers na Simba) halafu Yanga kaifanya mara 3 (APR, Vipers na Simba) .Nyie kumbe Nabi anakijua kiswahili vizuri kabisaaa, eti "niache niache, subiri subiri huyu Robetinho afu akachanganyaa na kifaransa chake"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilichekaaa hadi baas.
Pole mkuu.Mtoa mada vp umedata?
Mechi ni ya leo au ya Jana?[emoji4]
Acha ushabiki maandaz wwMechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.
Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.
Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.
Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.
Jana sio leoEndelea na maisha ya kukariri badala ya kujifunza na kubadilika.
Amedata kweli huyu au ameshtua asubuhi asubuhi anaenda kwa muhindi mikeka yote imechanika,Mtoa mada vp umedata?
Mechi ni ya leo au ya Jana?[emoji4]
😂😂 ubingwa wanauacha Mbeya...Singida ni tawi lao wataachiwa, ila kule Mbeya wanapoenda kumalizia ligi ndipo wanaacha ubingwa ili bingwa wa ukweli aliyepo ligi ya mabingwa abebe ubingwa. Au nasema uongo jamani?
Viongozi wa Yanga waache kupoteza mda katika kushawishi vijana wadogo wasilimu, wajikite kwenye mpira tu. Ona jana tumefungwa na Enock na Denis!Mechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.
Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.
Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.
Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliNa Baleke angefunga pale jamaa angeongea hadi Kinyakyusa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sambaloketo kamfanya mara 2 (Vipers na Simba) halafu Yanga kaifanya mara 3 (APR, Vipers na Simba) .
Walifikiri wana cheza na AS Monastir auTp Mazembe ?Mechi ya jana imeamulia na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi wa mpira wa miguu ulimwenguni kutokana na kukosolewa kwao kuwa ni kikosi kibovu huku Yanga kwavile wanaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu wakiaminika kuwa ni bora zaidi. Hali ya kujiamini na kuchukulia mazoea ikaingia kwa mashabiki, wachezaji hadi benchi la ufundi.
Simba walijiandaa sana kiakili kwa hali ya juu hivyo ikawa ni rahisi kwa kuwa ndani ya mchezo katika game plan yao. Yanga kipindi chote cha kwanza walipoteana kabisa, akili zao zilikuwa hazijatulia, halafu wakawa wana mambo mengi mno uwanjani wakati wachezaji wa Simba walikuwa ni kwenda direct na kwa haraka golini kwa Yanga. Kutokana na kuwa na utulivu makosa kwa wacheza wa Simba yakawa ni machache kulinganisha na Yanga waliopotea mchezoni. Kilichowakuta leo ni kama surprise, na yote hiyo ni kutokana na kutokuheshimu mpinzani wako.
Kama hii mentality itabadilika, basi kule kwa Rivers Yanga itapigwa goli nyingi sana. Maana saivi kila mtu anamuonea Simba huruma huku wakijiona wao wapo semi, ila mambo yanaweza kwenda tofauti.
Mwisho namalizia kwa kusema, Yanga msimu ujao ubingwa wa NBC mnapaswa mjipange sana. Ukiangalia kikosi cha Simba kinahitaji tu kiungo mkabaji basi. Ila Yanga inahtaji wapishi wa magoli haswa na namba tisa ambaye asubiri nafasi kumi ndio apate goli moja.
Mods naomba msiunganishe uzi, hii ni tahadhari kuelekea mechi dhidi ya Rivers.