matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kuna uhusiano mkubwa kati ya dhuruma na upole wa kimasikini.
Masikini mtata huwa anapunguza uwezekano wa kuonewa na Matajiri. I
Yanga kama hayati Magufuli ilitakiwa walete taharuki. Wagomee match wazue balaa ambalo litaleta attention ya FIFA na dunia nzima. Wamefanya kosa baya sana kukubali kuendelea na match. Dunia ya sasa haiitaji uungwana na upole wa kimasikini ( unprincipled politeness).
Kwenye suala la Makinikia JPM alilikuza na kuleta tahaluki kubwa katika dunia ya uchimbaji dhahabu kiasi kwamba wasomi wa madini walimuona kama amechaganyikiwa.
Huwezi kudeal na tajiri sirini au kwa barua. Unatakiwa kumuanika hadharani uovu wake ili dunia yote ijue na uzingatiwe. Chochote inachokifanya sasa hakuna atakayekizingatia. Walitakiwa kugoma, na kukataa kuingia uwanjani liwalo na liwe.
Ingesaidia pia nchi Yetu kujulikana duniani, Kama Magufuli alivyoleta taharuki kwenye Tasnia ya madini hadi tukaandikwa kwenye magazeti ya ulaya.
Kelele zote zinazoendelea sasa ni ujinga na kupoteza muda wa uzalishaji kitaifa.
Masikini mtata huwa anapunguza uwezekano wa kuonewa na Matajiri. I
Yanga kama hayati Magufuli ilitakiwa walete taharuki. Wagomee match wazue balaa ambalo litaleta attention ya FIFA na dunia nzima. Wamefanya kosa baya sana kukubali kuendelea na match. Dunia ya sasa haiitaji uungwana na upole wa kimasikini ( unprincipled politeness).
Kwenye suala la Makinikia JPM alilikuza na kuleta tahaluki kubwa katika dunia ya uchimbaji dhahabu kiasi kwamba wasomi wa madini walimuona kama amechaganyikiwa.
Huwezi kudeal na tajiri sirini au kwa barua. Unatakiwa kumuanika hadharani uovu wake ili dunia yote ijue na uzingatiwe. Chochote inachokifanya sasa hakuna atakayekizingatia. Walitakiwa kugoma, na kukataa kuingia uwanjani liwalo na liwe.
Ingesaidia pia nchi Yetu kujulikana duniani, Kama Magufuli alivyoleta taharuki kwenye Tasnia ya madini hadi tukaandikwa kwenye magazeti ya ulaya.
Kelele zote zinazoendelea sasa ni ujinga na kupoteza muda wa uzalishaji kitaifa.