Tetesi: Yanga walitibuana na Azam sababu ya Prince Dube Sasa wanatibuana na KMC sababu ya Moallin, KMC waapa kuwaonyesha wao ni nani

Inter Milan
Ac Milan
Porto
Roma
Al Ahly
Zamalec
Kaizer chiefs
Orlando
Hazina viwanja, kwaiyo zimezidiwa Nini na Azam fc-
Kuwa na uwanja au kutokuwa na uwanja ni maamzi ya timu
Hata vya mazoezi?
 
Yaani hapo ningekuwa mimi KMC nawakatalia tu kuitumia uwanja basi..
Yaani unamkaribisha mpangaji halafu hata kabla ya kuhamia anatongoza mwanao?!
 
Inter Milan
Ac Milan
Porto
Roma
Al Ahly
Zamalec
Kaizer chiefs
Orlando
Hazina viwanja, kwaiyo zimezidiwa Nini na Azam fc-
Kuwa na uwanja au kutokuwa na uwanja ni maamzi ya timu
Hii haihalalishi Yanga sisi kuhangaika hangaika na uwanja wa watu kutunyanyasa.
 
Yaani hapo ningekuwa mimi KMC nawakatalia tu kuitumia uwanja basi..
Yaani unamkaribisha mpangaji halafu hata kabla ya kuhamia anatongoza mwanao?!
Kwa kweli hata mimi binafsi nisingekubali,umetoa mfano sahihi kabisa
 
Nimefurahi umeandika bila unafiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…