mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuporwa Prince Dube kibabe ndio kulifanya Yanga na Azam wawe na beef hadi kupekekea video zao wakiroga na kujidunga dawa za kujiongeza nguvu zivuje hali iyopelekea kuhama huo uwanja kwakisingizio unajoto sana
Sasa wamehamia uwanja wa KMC hata kabla hawajacheza mechi hata moja,wameshapora kocha mkuu wa KMC,wamempora kibabe usuku usiku na kumvalisha jezi ya Yanga na kumkabidhi Prado ambalo alilitumia kwenda kukabidhi ofisi
KMC wameapa kuifundisha yanga maana ya kukomoana
Mchana huu vyumba vya kubadilishia nguo vimeanza kufungwa CCTV Camera,na wameapa kuripoti vitendo vyote vusivyo vya kiungwana mchezoni kwa mamlaka husika
Tutarajie Yanga kuhamia uwanja wa Karume au au Tandiks mabatinI
Ukiachana na uwanja wa youtube wa Yanga,Simba na Yanga mapacha hawa hawana uwanja hata wa kuingiza watu 1000,
Sasa wamehamia uwanja wa KMC hata kabla hawajacheza mechi hata moja,wameshapora kocha mkuu wa KMC,wamempora kibabe usuku usiku na kumvalisha jezi ya Yanga na kumkabidhi Prado ambalo alilitumia kwenda kukabidhi ofisi
KMC wameapa kuifundisha yanga maana ya kukomoana
Mchana huu vyumba vya kubadilishia nguo vimeanza kufungwa CCTV Camera,na wameapa kuripoti vitendo vyote vusivyo vya kiungwana mchezoni kwa mamlaka husika
Tutarajie Yanga kuhamia uwanja wa Karume au au Tandiks mabatinI
Ukiachana na uwanja wa youtube wa Yanga,Simba na Yanga mapacha hawa hawana uwanja hata wa kuingiza watu 1000,