Yanga wameanza kuonyesha matumaini

Yanga wameanza kuonyesha matumaini

Haijatofautiana sana na msimu ulioisha. Tumepunguza point moja tu kutoka kwenye msimu ulioisha lakini Yanga alifuzu.
Na kiwango chako kilikuwaje msimu uliopita? Je kuna giant anayeweza kumzuia al hilal au mc alger asichukue alama 9 nyumbani kwake? Unajua msimu uliopita al ahly hakufungwa away hata mechi moja? Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?
 
Na kiwango chako kilikuwaje msimu uliopita? Je kuna giant anayeweza kumzuia al hilal au mc alger asichukue alama 9 nyumbani kwake? Unajua msimu uliopita al ahly hakufungwa away hata mechi moja? Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?
Hesabu ziko hivi
Mazembe anakuja Kwa Mkapa anatoa point 3
Al Hilal hana kwake ni mkimbizi nitamfunga popote atakopopeleka mechi iwe Mauritania au Libya namfunga
Mc Alger tunamaliza nae Kwa Mkapa huyo ni ngumu tunaomba tukija kucheza nae awe amefuzu ili asikaze sana, tumpige
Hapo tutakuwa na points 10

Hizi ni hesabu kila kitu kinawezekana
 
Ndio unaongea hesabu gani hapo huwezi uka + na - kwa wakati mmoja. Kama Yanga itashinda mechi zake zote zilizobakia maanake hao wengine watakuwa hesabu ya - wakati Yanga itakuwa ni + yaani watapoteza point 3 kila mmoja.
Kwanini timu inayoonekana dhaifu kama yanga ndio unaipa nafasi ya kushinda halafu timu imara na bora kama mc alger na al hilal huzipi nafasi?

Kwa nilivyowatazama mazembe al hilal anao uwezo wa kuwapiga hapo hapo kwao.
 
Ndio unaongea hesabu gani hapo huwezi uka + na - kwa wakati mmoja. Kama Yanga itashinda mechi zake zote zilizobakia maanake hao wengine watakuwa hesabu ya - wakati Yanga itakuwa ni + yaani watapoteza point 3 kila mmoja.
Uko sahihi.

Kila timu ina match tatu za kucheza zilizobaki.
Kati ya hizo tatu na yanga akiwemo.

Hesabu ziko wazi
 
Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?
Wewe kweli mpira unaulazimisha, unasema Belouizdad angempiga Al Ahly angekuwa na point 11, sasa ni nani aliyemkataza Belouizdad asimpige Al Ahly? Mc Alger kabakiza mechi moja tu nyumbani tena dhidi ya Tp Mazembe ambayo itakuwa January 10 tu hapo, kwasasa kundi bado lipo wazi katika nafasi ya pili. Hakuna aliyekuwa na uhakika wa kuwa nafasi ya pili hadi sasa.

Unauliza kiwango cha Yanga kilikuwaje msimu uliopita,swala la ni kujipanga na nidhamu na kujitoa. Ingekuwa Yanga ilikuwa na kiwango cha kutisha basi wasingeambulia point 2 katika michezo mitatu
 
Hakuna matumaini yoyote kwa chura. Watamaliza nafasi ya mwisho kwenye hilo kundi.
 
Kwahiyo TP Mazembe na MC Alger watakuwa wanamwangalia tu.
 
Back
Top Bottom