Na kiwango chako kilikuwaje msimu uliopita? Je kuna giant anayeweza kumzuia al hilal au mc alger asichukue alama 9 nyumbani kwake? Unajua msimu uliopita al ahly hakufungwa away hata mechi moja? Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?Haijatofautiana sana na msimu ulioisha. Tumepunguza point moja tu kutoka kwenye msimu ulioisha lakini Yanga alifuzu.
Hesabu ziko hiviNa kiwango chako kilikuwaje msimu uliopita? Je kuna giant anayeweza kumzuia al hilal au mc alger asichukue alama 9 nyumbani kwake? Unajua msimu uliopita al ahly hakufungwa away hata mechi moja? Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?
Kwanini timu inayoonekana dhaifu kama yanga ndio unaipa nafasi ya kushinda halafu timu imara na bora kama mc alger na al hilal huzipi nafasi?Ndio unaongea hesabu gani hapo huwezi uka + na - kwa wakati mmoja. Kama Yanga itashinda mechi zake zote zilizobakia maanake hao wengine watakuwa hesabu ya - wakati Yanga itakuwa ni + yaani watapoteza point 3 kila mmoja.
Shinda hata mechi moja basi unatolewaje bila kushinda hata mechi moja?Mechi ya KIJILI ipo wapi
Huko kwenye mashindano ya akina mama 5imba amefuzu?Shinda hata mechi moja basi unatolewaje bila kushinda hata mechi moja?
Uko sahihi.Ndio unaongea hesabu gani hapo huwezi uka + na - kwa wakati mmoja. Kama Yanga itashinda mechi zake zote zilizobakia maanake hao wengine watakuwa hesabu ya - wakati Yanga itakuwa ni + yaani watapoteza point 3 kila mmoja.
Wewe kweli mpira unaulazimisha, unasema Belouizdad angempiga Al Ahly angekuwa na point 11, sasa ni nani aliyemkataza Belouizdad asimpige Al Ahly? Mc Alger kabakiza mechi moja tu nyumbani tena dhidi ya Tp Mazembe ambayo itakuwa January 10 tu hapo, kwasasa kundi bado lipo wazi katika nafasi ya pili. Hakuna aliyekuwa na uhakika wa kuwa nafasi ya pili hadi sasa.Hv unajua belouizdad angempiga al ahly angekuwa na point 11 na usingefuzu? Hv unajua mc alger na al hila kila mtu akishinda mechi zake zote kwake utakuwa umetoka? Hv unajua kuwa mc alger kashamalizana na wewe nyumbani kwake na kachukua 3?
Na kweli imetushangaza sanaaa kutoka kushangilia kupangwa na vijana wa anko Ibenge mpaka kuombea wenzenu wafungwe ili nyie mpone IMETUSHANGAZA KWELIYanga bingwa
Yanga ni timu ya kuwashangaza
Mbumbumbu Leo yanafungwa.Mfu anayekata roho Haachi kurusha miguu