Habari wadau
Naona Yanga wametoa jezi mpya kwa kwa ajili ya total caf champions league..
Wamefuta nyota zao walizoweka juu ya logo yao kwenye jezi zao za msimu huu walizochezea hatua za awali za caf champions league na ligi kuu ya tanzania.
Watu wengi walishangaa why jezi ya mamelodi iwe na nyota Moja huku Yanga iwe na nyota tatu.
Jibu ni kwamba yanga walijiwekea nyota juu ya lebo kama urembo sababu caf champions league yenyewe ilikuwa bado haijaanza.
Caf na wadhamini wao wanatambua mashindano yao halali huwa yanaanza hatua ya makundi. Kuanzia hapo timu shiriki inaruhusiwa kuweka kila nyota Moja juu ya logo yao kwenye jezi yake kwa kila idadi ya kombe Moja la ligi ya mabingwa iliyolibeba.
Jezi ya tp mazembe ina nyota 5 juu ya logo ya mazembe
Jezi ya mamelodi ina nyota Moja
Jezi ya Yanga imeondolewa nyota zote tatu walizoweka juu ya logo yao hivyo imebaki bila nyota
Hili ni funzo kwetu tuache kuleta ujanja ujanja
Naona Yanga wametoa jezi mpya kwa kwa ajili ya total caf champions league..
Wamefuta nyota zao walizoweka juu ya logo yao kwenye jezi zao za msimu huu walizochezea hatua za awali za caf champions league na ligi kuu ya tanzania.
Watu wengi walishangaa why jezi ya mamelodi iwe na nyota Moja huku Yanga iwe na nyota tatu.
Jibu ni kwamba yanga walijiwekea nyota juu ya lebo kama urembo sababu caf champions league yenyewe ilikuwa bado haijaanza.
Caf na wadhamini wao wanatambua mashindano yao halali huwa yanaanza hatua ya makundi. Kuanzia hapo timu shiriki inaruhusiwa kuweka kila nyota Moja juu ya logo yao kwenye jezi yake kwa kila idadi ya kombe Moja la ligi ya mabingwa iliyolibeba.
Jezi ya tp mazembe ina nyota 5 juu ya logo ya mazembe
Jezi ya mamelodi ina nyota Moja
Jezi ya Yanga imeondolewa nyota zote tatu walizoweka juu ya logo yao hivyo imebaki bila nyota
Hili ni funzo kwetu tuache kuleta ujanja ujanja