Yanga wameliingiza jina la Morison katika mfumo wa usajili

Yanga wameliingiza jina la Morison katika mfumo wa usajili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku viongozi wa yanga watakula bakora live pale jangwani. Hivi kuingiza taarifa za mchezaji wenye tms si mpaka apitishwe na tff tena iwe chini ya tms officer wa tff. Sasa mkataba una shida na hukumu toka katika kamati ilitoka wanawezaje kuingiza hilo jina na details ktk tms?

I stand to be corrected
 
Kwahiyo hawawezi kuingiza majina ya usajili bila TFF?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku viongozi wa yanga watakula bakora live pale jangwani. Hivi kuingiza taarifa za mchezaji wenye tms si mpaka apitishwe na tff tena iwe chini ya tms officer wa tff. Sasa mkataba una shida na hukumu toka katika kamati ilitoka wanawezaje kuingiza hilo jina na details ktk tms?

I stand to be corrected
 
IMG-20200823-WA0036.jpg
 
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla amethibitisha kuwa wameliingiza jina la kiungo mshambuliaji Bernard Morrison katika mfumo wa usajili wa wachezaji wa klabu hiyo (Transfer Matching system) na wamepeleka katika Shirikisho la soka la Barani Afrika na Shirikisho la soka la Dunia (FIFA).

Msolla amesema kuwa Kiungo Huyo ni Mchezaji wao halali na hukumu iliyotolewa na Kamati ya (TFF) haina Uhalali wowote.

Msola amesema Jumatatu watatuma shauri la mchezaji huyo shirikisho la soka Duniani FIFA na ikiwa shirikisho hilo litamuidhinisha kuwa ni mchezaji wa Yanga, basi itawalazimu Simba waende mezani wakamalizane nao.

Orodha ya wachezaji wa Kigeni yaliyoingizwa katika mfumo wa TMS: Farouk Shikalo, Mukoko Tonombe, Michael Sarpong, Tuisila Kisinda, Haruna Niyonzima, Lamine Moro, Yacouba Sogne, Carlinhos Carmo na Bernard Morrison.

HII TAARIFA MNAONAJE?
Ni kweli BM33 ni mali halali ya wanajangwani, hayo mengine ya Tff ni porojo na kujifurshisha tu. Habari ndiyo hiyo mkuu.
 
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla amethibitisha kuwa wameliingiza jina la kiungo mshambuliaji Bernard Morrison katika mfumo wa usajili wa wachezaji wa klabu hiyo (Transfer Matching system) na wamepeleka katika Shirikisho la soka la Barani Afrika na Shirikisho la soka la Dunia (FIFA).

Msolla amesema kuwa Kiungo Huyo ni Mchezaji wao halali na hukumu iliyotolewa na Kamati ya (TFF) haina Uhalali wowote.

Msola amesema Jumatatu watatuma shauri la mchezaji huyo shirikisho la soka Duniani FIFA na ikiwa shirikisho hilo litamuidhinisha kuwa ni mchezaji wa Yanga, basi itawalazimu Simba waende mezani wakamalizane nao.

Orodha ya wachezaji wa Kigeni yaliyoingizwa katika mfumo wa TMS: Farouk Shikalo, Mukoko Tonombe, Michael Sarpong, Tuisila Kisinda, Haruna Niyonzima, Lamine Moro, Yacouba Sogne, Carlinhos Carmo na Bernard Morrison.

HII TAARIFA MNAONAJE?
Hapo ndipo ufinyu wa mawazo wa msimu Dr Msolla,unapojidhihirisha walisema wanakata rufaa ktk mahakama ya michezo(CAS).Inakuwaje leo akaliingiza kwenye system ,wakati bado hawajakata rufaaa,au wameamua kuwahadaaa wanachama namashabiki wao wa UtOPoLo?au ndiyo yale Yale aliyosema dj Luc?
 
Hivi akiliingiza baadaye kama kuna makosa ni adhabu pia inawahusu
Hapo ndipo ufinyu wa mawazo wa msimu Dr Msolla,unapojidhihirisha walisema wanakata rufaa ktk mahakama ya michezo(CAS).Inakuwaje leo akaliingiza kwenye system ,wakati bado hawajakata rufaaa,au wameamua kuwahadaaa wanachama namashabiki wao wa UtOPoLo?au ndiyo yale Yale aliyosema dj Luc?
 
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla amethibitisha kuwa wameliingiza jina la kiungo mshambuliaji Bernard Morrison katika mfumo wa usajili wa wachezaji wa klabu hiyo (Transfer Matching system) na wamepeleka katika Shirikisho la soka la Barani Afrika na Shirikisho la soka la Dunia (FIFA).

Msolla amesema kuwa Kiungo Huyo ni Mchezaji wao halali na hukumu iliyotolewa na Kamati ya (TFF) haina Uhalali wowote.

Msola amesema Jumatatu watatuma shauri la mchezaji huyo shirikisho la soka Duniani FIFA na ikiwa shirikisho hilo litamuidhinisha kuwa ni mchezaji wa Yanga, basi itawalazimu Simba waende mezani wakamalizane nao.

Orodha ya wachezaji wa Kigeni yaliyoingizwa katika mfumo wa TMS: Farouk Shikalo, Mukoko Tonombe, Michael Sarpong, Tuisila Kisinda, Haruna Niyonzima, Lamine Moro, Yacouba Sogne, Carlinhos Carmo na Bernard Morrison.

HII TAARIFA MNAONAJE?
wapele tu,

watu washuke daraja[emoji23]
 
Hawa viongozi wa yanga watulie tu hili jambo mashabiki washakubaliana nalo..sasa waobado wanawashwawashwa. Litawatokea puani.
 
Hapo ndipo ufinyu wa mawazo wa msimu Dr Msolla,unapojidhihirisha walisema wanakata rufaa ktk mahakama ya michezo(CAS).Inakuwaje leo akaliingiza kwenye system ,wakati bado hawajakata rufaaa,au wameamua kuwahadaaa wanachama namashabiki wao wa UtOPoLo?au ndiyo yale Yale aliyosema dj Luc?
Wewe ndio akili kabisa hakuna, huo udokta hakuuokota barabarani, tulia uone mambo yanavyoenda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku viongozi wa yanga watakula bakora live pale jangwani. Hivi kuingiza taarifa za mchezaji wenye tms si mpaka apitishwe na tff tena iwe chini ya tms officer wa tff. Sasa mkataba una shida na hukumu toka katika kamati ilitoka wanawezaje kuingiza hilo jina na details ktk tms?

I stand to be corrected
Alishagapitishwa na hao hao tff ndo maana yanga wanajiamini sana huko fifa
 
Wale wazee wa yanga wameshndwa kabisa kumpga misumari huyu jamaa?
 
FIFA kumfungia mchezaji huwa ni ngumu sana kwa kuhofia kiwango cha mchezaji kisishuke mwisho wa siku ni Morrison kuchagua timu ya kucheza na jana kasema kuna time flani ni university of football

Rejea kwa buswita

Kwani anaeidhinisha usajili ni nani FIFA, tff, au timu husika.

Kamati ilitambua mapungufu ya mkataba ikasema inampa faida Morrison na FIFA haiko tayari kukurupusha na wanachama wake ambao ni tff,. Na yakifukuliwa sana makaburi ya mkataba huo kuna timu itacheza SDL

Atachelewa ndio mwisho wa siku atachezesha simba.
Wewe ulishawahi kufanya kazi huko FIFA?
 
Back
Top Bottom