Yanga wameliingiza jina la Morison katika mfumo wa usajili

Yanga wameliingiza jina la Morison katika mfumo wa usajili

Kulikuwa na Donald Ngoma yupo wapi siku hizi!!!

Morrison huo uhuni alioufanya uko Ghana na South Afrika ni tofauti na hapa Tanzania
 
Sio hivyo tu bro Jana tu Mwenyekiti kasema wanaomba wanachama wachange waongeze wachezaji wawili wa kimataifa. Kwa maana hiyo hawajamaliza usajili. Hii Ni njia ya kucheza na akili za Wana Yanga.
Wakitembeza bakuli ili wasajili wawili jumla na Morison watakuwa na wachezaji kumi na moja kweli nimeamini yule ni professor wa propaganda full mautopolo
 
FIFA WAMTAKA MIQUISSONE KUANDIKA BARUA ACHAGUE TIMU YA KUICHEZEA, UD SONGO WAKATAA


1598271990930.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku viongozi wa yanga watakula bakora live pale jangwani. Hivi kuingiza taarifa za mchezaji wenye tms si mpaka apitishwe na tff tena iwe chini ya tms officer wa tff. Sasa mkataba una shida na hukumu toka katika kamati ilitoka wanawezaje kuingiza hilo jina na details ktk tms?

I stand to be corrected
Ndipo nawashangaa mashabiki wanavyodanganywa kirahis, kamati imetoa hukum na yanga wataingiza vp jina lake, maana maamzi ya kamati yanatenguliwa na kamati ya rufaa,sie mashabiki tukiacha kupenda timu tukapenda mpira haitatokea viongozi kutudanganya kitoto hivi
 
FIFA Yawapa ITC Miquissone na Kichuya Rasmi Kuanza Kukipiga Simba

1598272430834.png
 
Sasa jamaa inawezekana yuko smart lakini simba kumchezesha itakwaje mbona itakuwa kama ishu ya kubahatisha
Unajua hizi kamati za tff ni zinatambulika km mahakama za michezo,hivyo ile hukum iliotolea haiwezi kupingwa na yoyote ata karia hawezi kutengua isipokuwa kamati ya rufaa ndio ina mamlaka hao,simba wataingiza jina lake kwa kupitia hukum iliotolewa,yanga hawawezi kuingiza jina lake coz wameshindwa kesi,labda wakate rufaa kwenye kamati
 
Hivi hakuna document yoyote ya transfer Morison wanayoisubiria Simba toka yanga ili wapeleke kwa TFF na FIFA ?au TFF wanaweza kumaliza juu kwa juu,nina wasiwasi usajili wa simba kuingia doa
Ndipo nawashangaa mashabiki wanavyodanganywa kirahis, kamati imetoa hukum na yanga wataingiza vp jina lake, maana maamzi ya kamati yanatenguliwa na kamati ya rufaa,sie mashabiki tukiacha kupenda timu tukapenda mpira haitatokea viongozi kutudanganya kitoto hivi
 
Ni kweli BM33 ni mali halali ya wanajangwani, hayo mengine ya Tff ni porojo na kujifurshisha tu. Habari ndiyo hiyo mkuu.
Ndugu yang acha kupenda timu penda mpira, kumbuka kesi ya simba na point 3 za kagera ilishia wapi? Zaid ya mashabiki kudangaywa
 
Hapo ndipo ufinyu wa mawazo wa msimu Dr Msolla,unapojidhihirisha walisema wanakata rufaa ktk mahakama ya michezo(CAS).Inakuwaje leo akaliingiza kwenye system ,wakati bado hawajakata rufaaa,au wameamua kuwahadaaa wanachama namashabiki wao wa UtOPoLo?au ndiyo yale Yale aliyosema dj Luc?
Hukum ya kamati inatenguliwa kwa kushinda rufaa,sasa rufaa haujapeleka na haujashinda unasemaje ni wako,yaan mashabiki wanadanganywa km watt wadogo
 
Sio hivyo tu bro Jana tu Mwenyekiti kasema wanaomba wanachama wachange waongeze wachezaji wawili wa kimataifa. Kwa maana hiyo hawajamaliza usajili. Hii Ni njia ya kucheza na akili za Wana Yanga.
Walishatuona sie mashabiki km watt
 
Jf imejaa watu kama wa fb siku hizi,mtu anapewa utaratibu wa FIFA(Kitu ambacho kinajulikana GT yeyote anaweza kufahamu kwa kufuatilia) ye anakuja kuuliza eti kwani wewe umewahi kufanya kazi FIFA[emoji38] yaan hoja za ki fb kabisaa
 
Hivi hakuna document yoyote ya transfer Morison wanayoisubiria Simba toka yanga ili wapeleke kwa TFF na FIFA ?au TFF wanaweza kumaliza juu kwa juu,nina wasiwasi usajili wa simba kuingia doa
Hapana usajili hauwezi kuingia doa au kusubiri document toka yanga kwa sababu hukum imeshatolewa,ili kuipinga hukum unatakiwa ukate rufaa, MFANO UKISHINDWA KISUTU UNAENDA MAHAKAMA KUU NA UKISHINDWA UKO UNAENDA MAHAKAMA YA RUFAA AMBAPO NDIO MWISHO WA MAAMZI, NDIVYO HIVYO KWA KAMATI IPO KAMATI UKISHINDWA UNAENDA KAMATI YA RUFAA UKISHINDWA UNAENDA FIFA NA UKO UKISHINDWA NDIO UNAENDA CAS
.
.
.kumbuka kote uko fifa na cas unalipia dollars ili kesi yako isikilizwe
 
Jf imejaa watu kama wa fb siku hizi,mtu anapewa utaratibu wa FIFA(Kitu ambacho kinajulikana GT yeyote anaweza kufahamu kwa kufuatilia) ye anakuja kuuliza eti kwani wewe umewahi kufanya kazi FIFA[emoji38] yaan hoja za ki fb kabisaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unatakiwa kueleza na kufafanua unachojua siyo kuleta u much know, wewe ni wale wale tu ujuaji mwingi ukiambiwa eleza huna la maana
Jf imejaa watu kama wa fb siku hizi,mtu anapewa utaratibu wa FIFA(Kitu ambacho kinajulikana GT yeyote anaweza kufahamu kwa kufuatilia) ye anakuja kuuliza eti kwani wewe umewahi kufanya kazi FIFA[emoji38] yaan hoja za ki fb kabisaa
 
BM3 anaudhi aisee
Mpaka wewe mkuu unatoa sauti ya chini hivi, huenda hii ishu ikawa ni serious kuliko wengine tuwazavyo.

Shida ni nini mkuu kuhusu huyu bwana mdogo?

Unajua zamani Barca na Madrid walikuwa na mahasimu wakubwa mno, lakini mashabiki waliweza kupendaga, miaka ya 2010 hivi kukawa na uadui mkubwa.

Ikapelekea mashabiki wa Barca hawachangamani na mashabiki wa Madrid pale Bernabeu. Na mashabiki wa Madrid pia pale Camp Nou.

Inafika kipindi timu ya Taifa ikawa inapimwa na kunyambuliwa kwa kutazama wachezaji wengi wanatoka timu ipi. Uhasama ulizidi kushika kasi.

Hofu ni kuwa hizi Simba na Yanga huu ushabiki unaweza ukaja ukadidimiza soka letu hata katika nyanja za kimataifa.

Turudi ktk mada mkuu, shida hasa ya jamaa Morison ni ipi? Na je Yanga wapo sahihi kuandika hili jina huko Fifa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku viongozi wa yanga watakula bakora live pale jangwani. Hivi kuingiza taarifa za mchezaji wenye tms si mpaka apitishwe na tff tena iwe chini ya tms officer wa tff. Sasa mkataba una shida na hukumu toka katika kamati ilitoka wanawezaje kuingiza hilo jina na details ktk tms?

I stand to be corrected
Umejua kunifurahisha yaani tatizo Dr msolla anajua kucheza na mindset za wana jangwani, about Morrison game over anazingua tu ngoja siku wakampage bakora pale jangwani akili itamkaa sawa.

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom