Yanga wamepewa tuu lile goli la offside; Uzembe wa waamuzi unaendelea

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Nadhani unajua kabisa anayeangaliwa kuwa ni offside ni yule anayekuwa na mpira au anayepewa pasi.

Mahaba na Mbumbumbu fc yatakuuwa mkuu
 
Kila mmoja ashinde mechi zake kihalali.
Ofsode huwa inaangaliwa wakati gani?? ,,mstari wa offside huwa unachorwa wakati gan??


Offside inakuwa trapped pale pasi inapo pigwa... Pale mtoa pasi anapo toa pasi

Hyo picha inaonesha wakati ajibu ana toa pass na eneo aliopo ngassa..... Alikua amezidi completely ....tazama hyo video attached utaeleewa
 
Kajifunze kuandika kwanza
 
Weka video clip sio hizi picha za KuAdobe
 
Hapo labda VAR lkn sio kwa macho ya mshika kibendera, ndio maana kipa anawalaumu mabeki wake kwa kuruhusu krosi iliyosababisha goli na sio mshika kibendera kwa kutonyanyua kibendera!!

Hii mechi imenikumbusha jinsi Robert Martinez alivyokuwa anampanga Lukaku kucheza upande wa kulia kule World Cup na Ole akajaribu pia kumtumia Lukaku upande wa kulia na akaonekana ni hatari zaidi kwa mikimbio anayofanya akipata mpira.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Makambo leo muda mwingi wa kipindi cha kwanza alicheza upande wa kulia akianzisha zile Counter attack, nadhani kilichokosekana leo ni idadi ndogo ya wachezaji wa Yanga pindi wanapofanya Counter attack!
Inawezekana Makambo akitokea upande wa kulia kunaweza kumfanya awe na madhara zaidi kwani anakua na uwezo wa kuwapunguza mabeki na kutafuta angle za goli badala ya kusubiri tu krosi kwenye box.
 
Yani refa wa Leo na yule mshika kimbendera upande wa kulia alikua na biase nyingi mno.
Hii mechi ndo nataka nione ka TFF huwa wanafuatilia waamuzi wao au wanasikiliza kelele za watu.
Angalia goli la ngoma refa anapiga filimbi eti Dante alifanyiwa madhabi wakati yeye Dante ndo alikua anafanya kosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…