Yanga wamepewa tuu lile goli la offside; Uzembe wa waamuzi unaendelea

Yanga wamepewa tuu lile goli la offside; Uzembe wa waamuzi unaendelea

Yani refa wa Leo na yule mshika kimbendera upande wa kulia alikua na biase nyingi mno.
Hii mechi ndo nataka nione ka TFF huwa wanafuatilia waamuzi wao au wanasikiliza kelele za watu.
Angalia goli la ngoma refa anapiga filimbi eti Dante alifanyiwa madhabi wakati yeye Dante ndo alikua anafanya kosa

Lazima ujue hilo pia
 

Attachments

  • VID-20190427-WA0005.mp4
    3.1 MB
Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa
#Tpl
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tazama vizuri

View attachment 1084096
Pambafff... ushindi ashinde simba akishinda yanga kabebwa! Ungeomba uamuzi wewe ndo uchezeshe hiyo mechi! Pambafff!
 
Yani mechi 1 ununue kwa milioni 3, kwa thamani gani hasa ya kombe linalong'ang'aniwa nakati Makelele FC wana uwezo wa kununua hata klabu nyingine kwa udhamini wa Kanjibai[emoji848][emoji1787]
Timu pekee yenye bajeti ya kununua mechi ni Simba.
Kanjibai katenga fungu la kutosha
 
Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa
#Tpl
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tazama vizuri

View attachment 1084096
mbona linesman kasimama tu? hajui kazi yake?
 
Maana tunaojua raha ya mpira wenye afya hatuwekezi mioyo yetu hapa bongo ila tupo kinafki ili tuonekane wazalendo.

Anayeshabikia mpira wa magazetini kwa mahaba yote atakuwa katoka mirembe hivi karibuni[emoji3]
Tukiondoa ushabiki wa Usimba na Uyanga,bado afrika tunashida kubwa sana kwenye soka,

Hii nikuanzia kwenye uongozi wake, kuja kwenye uamuzi ndio usiseme na makorokoro mengine mengi tu.

Tuna vitu vingi sana vya kujifunza, nikuhakikishie viongozi na waamuzi ndio wanaofanya soka la afrika halikui. Waamuzi wetu bado sana kufikia vigezo vya kufanya maamuzi sahihi.
 
Tukiondoa ushabiki wa Usimba na Uyanga,bado afrika tunashida kubwa sana kwenye soka,

Hii nikuanzia kwenye uongozi wake, kuja kwenye uamuzi ndio usiseme na makorokoro mengine mengi tu.

Tuna vitu vingi sana vya kujifunza, nikuhakikishie viongozi na waamuzi ndio wanaofanya soka la afrika halikui. Waamuzi wetu bado sana kufikia vigezo vya kufanya maamuzi sahihi.
Ulikuwa wapi siku zote kuwa mkweli kiasi hichi, au uliogopa ban nn[emoji848][emoji28]
 
Back
Top Bottom