Yani refa wa Leo na yule mshika kimbendera upande wa kulia alikua na biase nyingi mno.
Hii mechi ndo nataka nione ka TFF huwa wanafuatilia waamuzi wao au wanasikiliza kelele za watu.
Angalia goli la ngoma refa anapiga filimbi eti Dante alifanyiwa madhabi wakati yeye Dante ndo alikua anafanya kosa
Pambafff... ushindi ashinde simba akishinda yanga kabebwa! Ungeomba uamuzi wewe ndo uchezeshe hiyo mechi! Pambafff!Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa
#Tpl
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tazama vizuri
View attachment 1084096Soka Football Central on Instagram: “Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa #Tpl”
4 Likes, 1 Comments - Soka Football Central (@soka_app) on Instagram: “Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa #Tpl”www.instagram.com
Hivi maskini mtembeza bakuli anabebwaje nakati hana cha kuwanunua marefa kuliko Makelele FC[emoji848]hapo wangekuwa simba ndo wamepewa hilo goli ungewasikia lawama zao
Timu pekee yenye bajeti ya kununua mechi ni Simba.
Kanjibai katenga fungu la kutosha
Kumbe ilikuwa million tatu. Sikujua kiasi chenyewe.Yani mechi 1 ununue kwa milioni 3, kwa thamani gani hasa ya kombe linalong'ang'aniwa nakati Makelele FC wana uwezo wa kununua hata klabu nyingine kwa udhamini wa Kanjibai[emoji848][emoji1787]
kwani refa aliowapa simba penati aliwabeba au refa hajui kuchezesha?Hivi maskini mtembeza bakuli anabebwaje nakati hana cha kuwanunua marefa kuliko Makelele FC[emoji848]
kwani refa aliowapa simba penati aliwabeba au refa hajui kuchezesha?
Aliwabeba ndiyomaana walifungiwa waamuzi wote wawili wa pembeni pa1 na huyo Refa Mkuu(wa kati)
Ndiyo ujiulize ss jinsi gani ligi yenu ni mbovu kuliko zote duniani, ligi gani iliyowahi kumuachia Mtu viporo mechi zaidi ya 10 duniani? acha kuumiza kichwa wewe, rudi epl unenepe[emoji16]sawa.endeleeni kulalamika ila mkumbuke mmebakiza mechi 5.simba kabakiza 10.
Kwani hivyo viporo kuna timu kapewa kucheza mechi nyingi kuliko timu zingine??Uwepo wa viporo vingi tu tayari unadhihirisha ni yupi aliyeandaliwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu uchwara[emoji1]
Pole sana Mkuu.Uwepo wa viporo vingi tu tayari unadhihirisha ni yupi aliyeandaliwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu uchwara[emoji1]
mbona linesman kasimama tu? hajui kazi yake?Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa
#Tpl
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tazama vizuri
View attachment 1084096Soka Football Central on Instagram: “Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa #Tpl”
4 Likes, 1 Comments - Soka Football Central (@soka_app) on Instagram: “Off side? Au sio?....mtazame lines man amechwa na move kabisaaa #Tpl”www.instagram.com
mkuu nakusii anza kujifunza kushabikia golf au cricket, soka sio levo yako.Lkn hakuwa na mpira hapo, Weka na ambayo tayari amepewa pasi, ingawa sikutaka washinde
sasa hapo mwenye mpira na anayepewa mpira mbona wako mbele ya linesman?Nadhani unajua kabisa anayeangaliwa kuwa ni offside ni yule anayekuwa na mpira au anayepewa pasi.
Mahaba na Mbumbumbu fc yatakuuwa mkuu
Heshima yako Chifu, naomba huu uzi uishie hapa hapa.Pole sana Mkuu.
Maana tunaojua raha ya mpira wenye afya hatuwekezi mioyo yetu hapa bongo ila tupo kinafki ili tuonekane wazalendo.Heshima yako Chifu, naomba huu uzi uishie hapa hapa.
Tukiondoa ushabiki wa Usimba na Uyanga,bado afrika tunashida kubwa sana kwenye soka,Maana tunaojua raha ya mpira wenye afya hatuwekezi mioyo yetu hapa bongo ila tupo kinafki ili tuonekane wazalendo.
Anayeshabikia mpira wa magazetini kwa mahaba yote atakuwa katoka mirembe hivi karibuni[emoji3]
Ulikuwa wapi siku zote kuwa mkweli kiasi hichi, au uliogopa ban nn[emoji848][emoji28]Tukiondoa ushabiki wa Usimba na Uyanga,bado afrika tunashida kubwa sana kwenye soka,
Hii nikuanzia kwenye uongozi wake, kuja kwenye uamuzi ndio usiseme na makorokoro mengine mengi tu.
Tuna vitu vingi sana vya kujifunza, nikuhakikishie viongozi na waamuzi ndio wanaofanya soka la afrika halikui. Waamuzi wetu bado sana kufikia vigezo vya kufanya maamuzi sahihi.