Sasa mwenye mpira anakuaje offside mkuu. Maana yake hapo ngassa ashakuwa offside haruhusiwi kuucheza mpira. Kapewa mpara akiwa kwenye position ya offside na kafungaLkn hakuwa na mpira hapo, Weka na ambayo tayari amepewa pasi, ingawa sikutaka washinde
Uwepo wa viporo vingi tu tayari unadhihirisha ni yupi aliyeandaliwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu uchwara[emoji1]
Nilikua wapi kwenye lipi tena mkuu !! Kumbe bado upo kwenye uyanga wako kalaghabao !!!!Ulikuwa wapi siku zote kuwa mkweli kiasi hichi, au uliogopa ban nn[emoji848][emoji28]
Kunena ukweli vzr hasa kama ulivyochambua nilipokunukuu Chifu[emoji848]Nilikua wapi kwenye lipi tena mkuu !! Kumbe bado upo kwenye uyanga wako kalaghabao !!!!
Mkuu waamuzi na uongozi wa soka afrika ni majanga sana ila sasa waamuzi watanyooka kwasababu adhabu watakazokua wanapewa zitawaharibia weledi wao na kuwapotezea ajira hivyo watajirekebisha tuKunena ukweli vzr hasa kama ulivyochambua nilipokunukuu Chifu[emoji848]
Mkuu waamuzi na uongozi wa soka afrika ni majanga sana ila sasa waamuzi watanyooka kwasababu adhabu watakazokua wanapewa zitawaharibia weledi wao na kuwapotezea ajira hivyo watajirekebisha tu
Unaleta mambo ya kitaalamu kishabiki!!! Tazama na niambie;Ofsode huwa inaangaliwa wakati gani?? ,,mstari wa offside huwa unachorwa wakati gan??
Offside inakuwa trapped pale pasi inapo pigwa... Pale mtoa pasi anapo toa pasi
Hyo picha inaonesha wakati ajibu ana toa pass na eneo aliopo ngassa..... Alikua amezidi completely ....tazama hyo video attached utaeleewa
Offside pale mmshambuliaji anapokuwa amewazidi mabeki kabla ya mpira kupigwa kutoka kwa mwingine.sasa hapo mwenye mpira na anayepewa mpira mbona wako mbele ya linesman?
hapo wangekuwa simba ndo wamepewa hilo goli ungewasikia lawama zao
nipe sababu ya kuhairishwa kwa mechi za simba.ambazo unaona wewe sio za msingiInaelekea kelele na malalamiko ya Yanga yanawakera na kuwaumiza sana...ukweli ni kuwa Simba inapendelewa sana hadi inakera....timu ina viporo zaidi ya kumi ..nadhani hakuna ligi ya aina hii kokote duniani isipokuwa Tanzania...Kuwa na viporo ndiyo upendeleo wenyewe ili kumfanya yule mwenye viporo awe na nafasi ya 'kupanga' matokeo...
nipe sababu ya kuhairishwa kwa mechi za simba.ambazo unaona wewe sio za msingi