Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Huyu jamaa kiukweli anaipenda sana yanga, lakini viongozi wa yanga hawakuona umuhimu wa kumthamini wakati akiwapigia magoti wamlipie deni lake crdb bank.
sasa kagoma kusain mkataba mpya na ndani ya masaa48 atatimka kwenda kuanza maisha mapya bondeni(platinum fc)swali ni jee?!!viongozi wa yanga wameshindwa kumbakiza kweli jamani?mbona timu inabomoka sasa?msuva yuko bondeni na kwa mujibu wa meneja wake anasema atafuzu majaribio.niyonzima anaenda sudan na atatimka mwezi7, sasa ngasa nae huyo!!
mbaya zaidi ngassa na niyonzima wanaondoka free!!!!hii inaniuma sana.....na haya yote ni kutokana na ubabaishaji wetu.eti ngassa kashuka kiwango na hastahili kulipiwa deni,sasa mbona mnampigia magoti leo?kila la kheri ngassa,mpira ndiyo maisha yako nakuunga mkono."wakisema wa nini kuna ambao wanasema watakupata lini"
sasa kagoma kusain mkataba mpya na ndani ya masaa48 atatimka kwenda kuanza maisha mapya bondeni(platinum fc)swali ni jee?!!viongozi wa yanga wameshindwa kumbakiza kweli jamani?mbona timu inabomoka sasa?msuva yuko bondeni na kwa mujibu wa meneja wake anasema atafuzu majaribio.niyonzima anaenda sudan na atatimka mwezi7, sasa ngasa nae huyo!!
mbaya zaidi ngassa na niyonzima wanaondoka free!!!!hii inaniuma sana.....na haya yote ni kutokana na ubabaishaji wetu.eti ngassa kashuka kiwango na hastahili kulipiwa deni,sasa mbona mnampigia magoti leo?kila la kheri ngassa,mpira ndiyo maisha yako nakuunga mkono."wakisema wa nini kuna ambao wanasema watakupata lini"