Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Babe am alone and fakin cold. Could you please come and make my bed warm.No goal
Acha ujinga weweNo goal
Goooooo umeridhika sikuona vizuriAcha ujinga wewe
Eh mwaya nyie nyota yakuruka mbali hamnqga jaribuni next time mwaya akuyale nkaba nkaba nkuyeMimi ni yanga ni kweli lile siyo goli
😅😂🤣 Sawaaaaa!Mimi ni yanga ni kweli lile siyo goli
No nigoliHauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.
Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100
Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100
Hiyo ndio tofauti
Wewe ni mpumbavu!!Hamjambo!!!( utajaza mwenyewe)
Yanga acheni kudanganya watu kuwa mmedhurumiwa goli.
Nakuichafua CAF.
View attachment 2955053View attachment 2955060
Wewe umeonaje mkuu wakati hujawekewa camera ya juuHauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.
Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100
Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100
Hiyo ndio tofauti