Yanga wametoka kihalali kabisa

Yanga wametoka kihalali kabisa

Utajua wewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2024
Posts
928
Reaction score
1,836
Hamjambo!!!( utajaza mwenyewe)
Yanga acheni kudanganya watu kuwa mmedhurumiwa goli.
Nakuichafua CAF.

IMG-20240406-WA0000.jpg
IMG-20240406-WA0001.jpg
 
Hauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.

Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100

Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100

Hiyo ndio tofauti
 
Hauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.

Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100

Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100

Hiyo ndio tofauti
No nigoli
 
Hauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.

Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100

Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100

Hiyo ndio tofauti
Wewe umeonaje mkuu wakati hujawekewa camera ya juu
 
Back
Top Bottom