Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
- Thread starter
- #41
Changia hoja kwa hekima ,kosoa kwa heshima.= dhulumiwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Masuala ya shule sijui kusomea
Ila Amphibian #
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changia hoja kwa hekima ,kosoa kwa heshima.= dhulumiwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kama hujui; comentantor wa kwenye TV kubwa zote kubwa ni wachezaji waliostaafu na wana leseni za kufundisha mchezo huzika. Usidhani kuwa comentantor wa Bein TV ni mtu wa kuokoteza kama Jemedari n a jeoff leah.Sasa commentator akishangaa inaharibu nn? Ila wabongo wewe usisikilize amphibian mpira unasomewa Acha na hao watu
Jibu hoja acha hizo weweShida huelewi hayo magoli ya hovyo yamefutwa angalia mechi ya spurs vs Luton.
Mnafiki weweMimi ni yanga ni kweli lile siyo goli
Mimi sijambo sana.Hamjambo!!!( utajaza mwenyewe)
Yanga acheni kudanganya watu kuwa mmedhurumiwa goli.
Nakuichafua CAF.
View attachment 2955053View attachment 2955060
Hahahahaha....na aliyepigwa bao nje na ndani ..vipi ana nyota ya kupigwa ?Eh mwaya nyie nyota yakuruka mbali hamnqga jaribuni next time mwaya akuyale nkaba nkaba nkuye
Sasa bora kipi haya makondoo au mbuzi waliojiona bora kwenye futariHahahahaha....na aliyepigwa bao nje na ndani ..vipi ana nyota ya kupigwa ?
HahahahahaSasa bora kipi haya makondoo au mbuzi waliojiona bora kwenye futari
Sisi wana simba tunasema lile siyo goliHauwezi kunishawishi kuwa lile halikuwa goli.
Hiyo picha unayoionesha mpira haukuwa umemalizika wote kwa asilimia 100
Ule mpira wa Azizi Ki ulikuwa upo ndani kwa asilimia 100
Hiyo ndio tofauti
Punguza jazba we 🐸🐸Aisee nnnhuyu refa akafirwee...kmmakr zake..au hakufturu
Mwakarobo jr mtulie sasa meno yaote bado mna mapengo, mtazoea kuwa Mwakarobo jr, wana lunyasi waliisha uzoea mwakarobo senior 😂Hahahahaha....na aliyepigwa bao nje na ndani ..vipi ana nyota ya kupigwa ?
Kweli Rage alikuwa sahihiMwakarobo jr mtulie sasa meno yaote bado mna mapengo, mtazoea kuwa Mwakarobo jr, wana lunyasi waliisha uzoea mwakarobo senior 😂
Wee jamaa nimegundua Hamnazo. Unaweka Picha ya vitu vingine kabisa. Matukio tofauti. Sawa mpirà haujavuka mstari weka picha sasa tuone.Hamjambo!!!( utajaza mwenyewe)
Yanga acheni kudanganya watu kuwa mmedhurumiwa goli.
Nakuichafua CAF.
View attachment 2955053View attachment 2955060
Nyie wayahudi hamuachi asili, tumewapa hifadhi hapa nchini na wanawake zetu mnataka mtuchukulie.Babe am alone and fakin cold. Could you please come and make my bed warm.