Yanga wamshambulia kocha Nabi kwa kuvaa jezi ya Simba

Yanga wamshambulia kocha Nabi kwa kuvaa jezi ya Simba

Ashura cheupe alikuwa na hoja asikilizwe tena (uto wenye akili wako wawili tu)
.
FB_IMG_1682646171032.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Wakati Yanga wakiendelea kutafuta mchawi aliyesababisha wakapigwa na USMA wikendi iliyopita, baadhi ya mashabiki wao wameanza kuwashutumu baadhi ya watendaji wao kwa usaliti kisa kuvaa nguo zenye rangi nyekundu na nyeupe.

Katika jambo lililoshangaza wengi, siku ya mechi ya USMA kocha mkuu wa Yanga Nabi Nasrubrikegty alivaa jezi nyeupe.


View attachment 2641414

Kama hiyo haitoshi, baada ya mechi hiyo mmoja wa watangazaji wa Yanga katika kitengo cha habari alionekana akiwahoji wachezaji wa Yanga huko kambini Kimbiji huku amevalia jezi nyekundu.

View attachment 2641417

Mashabiki wa Simba walipotafutwa kutoa maoni yao kuhusu matukio haya wengi walijibu tu kwa kauli moja kuwa "sisi tuna watu".

Maoni yangu, Yanga jifunzeni mpira, kufungwa ni jambo la kawaida. Msije mkaaza kuvuana nguo kuchunguzana hadi rangi za vyupi.
Kumbe uchawi upo😅
 
Ukionmtu mtu mtandaoni anajiita fulani simba,au fulani yanga au fulani mwananchi au hata jina la mchezaji wa simbaau yanga km vile Mayele,Okwi usipoteze muda kubishana nae jua huyo ni shabiki maandazi wa hizi timu,tena ni aina ile ya wapumbavu wanaosababisha ccm iendelee kuwa madarakani
 
Kama wanatafuta mchawi anayeisaliti timu kwa kuangalia rangi ya mavazi kuhusisha na Simba

Basi wanze na GSM anayejiita Simba
Simba wa bahari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa nafurahi UTO wakifarakana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom