CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Haya majitu ya hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Ashura cheupe alikuwa na hoja asikilizwe tena (uto wenye akili wako wawili tu)
Kumbe uchawi upo😅Wakati Yanga wakiendelea kutafuta mchawi aliyesababisha wakapigwa na USMA wikendi iliyopita, baadhi ya mashabiki wao wameanza kuwashutumu baadhi ya watendaji wao kwa usaliti kisa kuvaa nguo zenye rangi nyekundu na nyeupe.
Katika jambo lililoshangaza wengi, siku ya mechi ya USMA kocha mkuu wa Yanga Nabi Nasrubrikegty alivaa jezi nyeupe.
View attachment 2641414
Kama hiyo haitoshi, baada ya mechi hiyo mmoja wa watangazaji wa Yanga katika kitengo cha habari alionekana akiwahoji wachezaji wa Yanga huko kambini Kimbiji huku amevalia jezi nyekundu.
View attachment 2641417
Mashabiki wa Simba walipotafutwa kutoa maoni yao kuhusu matukio haya wengi walijibu tu kwa kauli moja kuwa "sisi tuna watu".
Maoni yangu, Yanga jifunzeni mpira, kufungwa ni jambo la kawaida. Msije mkaaza kuvuana nguo kuchunguzana hadi rangi za vyupi.
Simba wa bahari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wanatafuta mchawi anayeisaliti timu kwa kuangalia rangi ya mavazi kuhusisha na Simba
Basi wanze na GSM anayejiita Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38] [emoji38] wiki ya Yang'a hii tunaimalizia trh 3 mwezi wa 6...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa nafurahi UTO wakifarakana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na njanooo woiiiiihKwa hiyo GSM ni simba? Maana siku zote anavaa kanzu nyeupe, wamwambie aache aanze kuvaa kanzu za kijani.
Wee yaani hii wiki naona ni full furaha🤣🤣🤣🤣Warudie mechi wavae njano...
Mtakandwaaaa tenaaaaaWee yaani hii wiki naona ni full furaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja jmosi utalia wewe
Itakua balaaaWee yaani hii wiki naona ni full furaha🤣🤣🤣🤣
Ngoja jmosi utalia wewe
Dah jamani yanga akikandwa tena sie wazee wa mishangzi gutakoaa burudani tuwaombee yanga washinde tupate raha ya kugegedua mishangazi ya green and yellowMtakandwaaaa tenaaaaa
Watakuchamba mpaka ukomeItakua balaaa