Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ukitoa mzee wa Msoga (kwa sababu analindwa na sheria), mashabiki na members wote wa yanga hawana akili.Tulia wewe! Yanga ndiyo timu kubwa kuliko zote nchini.
Na ndiyo maana inaitwa timu ya wananchi wa Tanzania. Siyo timu ya Wahindi hii.
NB :
Nimemnukuu Manara 😂😂