Yanga wana haki ya kususia ligi na kudai fidia iwapo mechi ya derby haitachezwa

Yanga wana haki ya kususia ligi na kudai fidia iwapo mechi ya derby haitachezwa

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kama ni kweli makomandoo walizuia wazee walioambatana na mbuzi kuingia uwanjani....

Kama kweli polisi walishindwa kuwadhibiti makomandoo....

Kama kweli hakuna tukio lililoripotiwa polisi kuhusu sakata hili ....


Bila shaka Yanga inapaswa kuweka msimamo imara dhidi ya uhuni kwenye soka
 
Back
Top Bottom