jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Kama ni kweli makomandoo walizuia wazee walioambatana na mbuzi kuingia uwanjani....
Kama kweli polisi walishindwa kuwadhibiti makomandoo....
Kama kweli hakuna tukio lililoripotiwa polisi kuhusu sakata hili ....
Bila shaka Yanga inapaswa kuweka msimamo imara dhidi ya uhuni kwenye soka
Kama kweli polisi walishindwa kuwadhibiti makomandoo....
Kama kweli hakuna tukio lililoripotiwa polisi kuhusu sakata hili ....
Bila shaka Yanga inapaswa kuweka msimamo imara dhidi ya uhuni kwenye soka