Yanga wanachokilalamikia hata sikioni

Yanga wanachokilalamikia hata sikioni

SAM_0447.JPG


07.JPG


Najua utaniuliza 'hiyo picha ya kwanza ni nini?' Na mimi kwa jeuri, SIKUJIBU
99bad1c14ec3ad0db44682073dc9b0c1.jpg
 

DSC_1118.jpg


_MG_0003.JPG


2ad71e08d7a86831198c5dd2018368f1.jpg


Hebu jaribu kidogo kutofautisha maafa na UCHAFU. Mafuriko si kitu kigeni, na si hapa Tanzania tu, hadi America na Ulaya.

mission-hills-flooding.jpg

Hii ni California

maxresdefault.jpg


Sasa hicho kijengo chenu kichafu kama Banda la Njiwa hapo sokoni kwa wauza sidiria kina mfano duniani?
 
DSC_1118.jpg


_MG_0003.JPG


2ad71e08d7a86831198c5dd2018368f1.jpg


Hebu jaribu kidogo kutofautisha maafa na UCHAFU. Mafuriko si kitu kigeni, na si hapa Tanzania tu, hadi America na Ulaya.

mission-hills-flooding.jpg

Hii ni California

maxresdefault.jpg


Sasa hicho kijengo chenu kichafu kama Banda la Njiwa hapo sokoni kwa wauza sidiria kina mfano duniani?
Kuna sehemu chafu inayonuka dsm kama mitaa ya jangwani? Hasa ilipo yanga?
Ukipita ile mitaa kama hujafunga vioo lazima uzirai!
Watembea kwa miguu lazima wabane pua...
Kuitwa ndala/vyura ni pamoja na kuwa wachafu...
 
Kuna sehemu chafu inayonuka dsm kama mitaa ya jangwani? Hasa ilipo yanga?
Ukipita ile mitaa kama hujafunga vioo lazima uzirai!
Watembea kwa miguu lazima wabane pua...
Kuitwa ndala/vyura ni pamoja na kuwa wachafu...
Huna unachoongea wewe

SAM_0447.JPG
 
Angalia takwimu kijana acha kukurupuka. Yanga habebi ubingwa kwa maamuzi ya mezani kama Simba Koko.

Mmeenda Kagera, mmepigwa katerero mkakimbilia TFF. Swali ni je, Mngeshinda mechi mngekimbilia TFF kushtaki kadi?

Mmeenda Kirumba mkapigwa MBAO za matako, bwana yule akaingia chumba cha Mbao na kufanya yake kipa akapewa maelekezo ya kutema mipira mbele ya Bulaginoni, kama Mbao wasingekuwa na njaa leo ungekuwa hapa unabwabwaja?

Mna visa sana nyie watoto
Povu
 
Kuna wakati hii timu ya sokoni ilitaka kushuka daraja, ikabidi FAT ifanye mipango kuinusuru. Ndio haya unayoyaona leo, bila saa 72 Forum, Simba hapandi ndege tena. Mpira wa uwanjani ndio ule uliouona Kaitaba
Unazan nyie mna uwez wa kushnda gem tan wazee nyie?
 
DSC_1118.jpg


_MG_0003.JPG


2ad71e08d7a86831198c5dd2018368f1.jpg


Hebu jaribu kidogo kutofautisha maafa na UCHAFU. Mafuriko si kitu kigeni, na si hapa Tanzania tu, hadi America na Ulaya.

mission-hills-flooding.jpg

Hii ni California

maxresdefault.jpg


Sasa hicho kijengo chenu kichafu kama Banda la Njiwa hapo sokoni kwa wauza sidiria kina mfano duniani?
Povu
 
Kuna sehemu chafu inayonuka dsm kama mitaa ya jangwani? Hasa ilipo yanga?
Ukipita ile mitaa kama hujafunga vioo lazima uzirai!
Watembea kwa miguu lazima wabane pua...
Kuitwa ndala/vyura ni pamoja na kuwa wachafu...
Fact
 
Siku zote nyani haoni kundule hivi hawa Yanga wanacho kilalamikia hata sikioni maana wamejawa lawama kama wao ndiyo timu pekee hapa nchini yenye nguvu kuliko timu zozote,wao wanalalamika kuwa kamati imejaa watu wa simba hivi watu hawa wa Simba wanao daiwa wamejaa kwenye kamati si ndiyo hawa hawa waliokubali gori la mkono la Tambwe?pia hawa hawa wanao daiwa watu wa simba si ndiyo walihamisha mchezo wa ndanda fc vs Yanga kutoka Mtwara kuja Dsm? na yanga wakafurahia huku wengine wakikwazika? hawa hawa wanadaiwa ni watu wa simba sindiyo wamelilifumbia macho swala la Tambwe kumshika sehemu za siri Juuko wa Simba na Yanga hawakuzungumza chochote au na hili hawakuliona?

Bado ndani ya kamati ya mashindano hii kamati inaundwa kwa uwiano sawa wa viongozi wa simba na yanga kwani mwenyekiti ni Kaburu wa simba na makamu ni Sanga makamu mwenyekiti wa Yanga na wajumbe ni( Mgoyi simba,)(mosha Yanga)(Sefu magari Yanga) kwahiyo hapa huwezi kupitisha kitu bila wao kukubaliana na hawa wote walipitisha kuchagua mechi pindi unapokuwa na kadi tatu za njano.Mi naona Yanga wao wacheze mpira tu kwani hii kamati ya mashindano ndiyo iliyokuwa inanajisi sheria na kanuni za kubadirisha ratiba kila uchwao mpaka simba wakawa wanalakamika wao wakifurahia tu lakini leo NYANI HAONI KUNDULE

Kuhusu swala eti Simba kwenye kamati wapo wengi ni uongo na uzushi mkubwa na kutaka kiwapotosha wa Tanzania hususani wa penda soka,eti wana lalamika kuwa simba inabebwa hivi vyura wanaakili kweli??katika mechi zao 5 walizo cheza marefa 4 wamesimamishwa kutokana na marefa hao kunajisi sheria zilizopo nakuufanya ukweli kuwa uongo mfano Mechi kati ya Mbeya city vs Yanga refa kafungiwa baada ya mbeya city kukalamikia maamuzi,mechi kati ya simba na yanga ya gori la mkono refa kafungiwa kutokana na refa kuruhusu gori la mkono la Tambwe,mchi kati ya Yanga vs Maji maji refa kafungiwa kisa ni maji maji kulalamikia maamuzi ya refa kuibeba yanga,mechi kati ya Yanga vs Stand fc refa kafungiwa hii ni kutokana na refa kuubatilisha ukweli kuwa uongo,sasa ukiangalia kwa umakini utajua ni nani anae bebwa kati ya simba na Yanga!!???

mi naona Yanga waache kulalamika na kutaka sheria na kanuni za soka zinajisiwe na ziwe za uongo ilihali ni kweli kuwa FAKHI anakadi 3 na akizipata kwenye mechi zifuatazo za ligi kuu mchezo namba

(1) 122 KAGERA VS MBEYA CITY TAREHE 17 DECEMBER DK YA 24,

mechi nyingine ni namba 165 KAGERA vs AFRICAN LYON

TAREHE 18/ 01/2017 DAKIKA 74

Na mchezo mwingine ni namba 190 KAGERA vs MAJI MAJI TAREHE 4/3/2017 DK 50 ,ukitazama hapo hakuna mechi hata moja ya FA, mi naona yanga kupitia huyo bwana mdogo Mkemi watulie tu hawana hoja.

KWELI NYANI HAONI KUNDULE
Nyie wapumbavu kweli na fikra zenu ni zero
 
Back
Top Bottom