Yanga wanakosa DNA ya michuano ya kimataifa

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Timu ya Yanga inakosa bahati ya michuano ya kimataifa hata wapangiwe vibonde vya namna gani wanakuwa wana struggle tofauti na Simba.

Simba wanaelekea kuwa kama real madrid na uefa champions league hata timu iwe mbovu vipi lakini kwenye uefa champions league wao ni habari nyingine.

Yanga wanapaswa kufanya kazi za ziada mno kujiimalisha katika michuano hiyo
 
Ukwel mchungu yanga ina shida Sana inataabika kufunga nafasi za waz kabisa lakn wanapoteza

Game wameishika lakn mabao hakuna kabisa had mda huu ilibid wawe mbele kwa gol s chin ya 5

Wakikutana na timu zenye kujua kutumia nafas hakika kilio kitakuwa kikubwa Sana kwa wanayanga maana wanaamini timu yao imekamilika kila idara lakn tofauti na tunataona hapa uwanjani

Mwalimu anakaz Sana kurekebisha attacking yake nafas kumi wanapata 2

Simba inatoa darasa kwa timu zetu kuwa sio kusajir tu pia dertemination na focus kwa kitu unachokihtaj n muhimu Sana

Mpira siyo kelele mpira uwanjan

Updates

Naona wamefanyia Kaz udhaifu goli 4 sasa
 
kweli unafananisha Real Madrid na Simba kwa lipi?
 
kweli unafananisha Real Madrid na Simba kwa lipi?
Mkuu nimezungumzia DNA ya mashindano ya kimataifa kwa sasa na itafikia hatua Simba kuikuta nusu fainali au fainali ya klabu bingwa ni swala la kawaida mbeleni. Hiyo DNA inakufanya hata ukiwa na timu inayo struggle mechi za nyumbani lakini nje unaogopewa mno
 
Wenye DNA baada ya kuitafuta draw kwa torch tena kwa kuchomoa,tuliwasikia.

Mara oohh.
Timu hamna.......wachezaji hawajitumi........Matola aende hatumtaki........?

Vip leo.
Timu mnayo au bado hamna?

Matola abaki au aende?

Au timu hamna ila DNA mnayo?
 
Ubora wa timu ni makombe, Simba ana kombe gani zaidi ya Mapinduzi?
 
Wao wanawaza watapata mganga gani wa bei rahisi next mechi na simba sc ili wawafunge nyingi na kikosi anapanga mganga.
 
Wewe ni bwege tu
 
Unadhani RMA wanachukua tu ubingwa bila uwekezaji eti kisa wana DNA haya tuambie hio DNA inauzwa wapi
 
CAF watukutanishe na nyie simba kwenye michuano anayeshinda asonge mbele
 
Simba ndo amesababisha Tanzania inapeleka team nne Caf champions league kuwa na heshima na lunyasi huu usimba na uyanga usikutoe ufahamu kiasi hicho achievement sio lazimauchukue kikombe.
Simba ndio timu iliyo lifedhehesha Taifa Kwa kufanya mambo ya kishirikina Tena ugenini na kupigwa fain.
Caf wamesha pokea malalamiko mengi juu ya vitendo vya kishirikina vinavyo husisha klabu ya Simba.
Endapo mtaendelea na tabia izo safarihii Rungu la Caf litatua utosini na kuleta madhara makubwa Kwa mbumbumbu fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…