Kimataifa vp ??Sikutarajia kama hiki kipigo cha 5 kwa fountain gate kitawaumiza makolo kwa kiwango hiki.
Poleni sana mtazoea tu.
Nchi hii ina mabwabwa wengi sana.Ndio maana ligi ya kimataifa kaambulia pointi 1 kwenye mechi tatu, timu hazitaki bahasha
Ukija kwenye ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia,
Sajiriwa wewe ukachezee hizo timu au ukazifundishe, au omba wakukodishe ili ukawe unaumia kila zitakapofungwaNdio maana ligi ya kimataifa kaambulia pointi 1 kwenye mechi tatu, timu hazitaki bahasha
Ukija kwenye ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia,
Aibu ya mtoa mada.Ndio maana ligi ya kimataifa Yanga wamekaziwa wameambulia pointi 1 kwenye mechi tatu, Yanga safari yao inaishia kwenye makundi, hakuna bahasha.
Ukija kwenye ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia,
Vipi kuhusu nini?Kimataifa vp ??
Poleni sana makolo kwa kuumizwa na kipigo cha leo, bt pungezeni milio maana nanyi mtafikiwa soon.ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
Ndio maana ligi ya kimataifa Yanga wameambulia pointi 1 kwenye mechi tatu, hakuna muujiza wa kutoboa kwenye makundi.
Yanga anapambania nafasi ya 3Vipi kuhusu nini?
Kwani Yanga kashamaliza game zake?
Wewe ulipomfunga fountain gate zile goli 4 na Tabora zile goli 3 mbona atukuona makocha wao wanaumia? Leo hii ndio umeona makocha awaumii? Wakati mnawafunga wachezaji wao walikuwa wanakaba isipokuwa dhidi ya yanga awakabi!!!ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
Ndio maana ligi ya kimataifa Yanga wameambulia pointi 1 kwenye mechi tatu, hakuna muujiza wa kupita makundi.
Nimehifadhi hii risiti ntakurudia.Yanga anapambania nafasi ya 3
View attachment 3187956
Kumbuka Yanga alifungwa nyumbani na Al Hilal, Uarabuni akafungwa, Congo alidraw kwa taabu sanaNimehifadhi hii risiti ntakurudia.
Hicho si kipigo ni makubaliano. Hii tff bure kabisa, kama wanajifanya hawaoni basi ni wehuSikutarajia kama hiki kipigo cha 5 kwa fountain gate kitawaumiza makolo kwa kiwango hiki.
Poleni sana mtazoea tu.
Acha ubwege wewe, huoni pattern ya matokeo?Sikutarajia kama hiki kipigo cha 5 kwa fountain gate kitawaumiza makolo kwa kiwango hiki.
Poleni sana mtazoea tu.
Yanga iliyofungwa na Azam,Tabora,Al hilal na Mc alger na kudraw na Mazembe na Yanga hii ya mechi 4 nyuma ni Yanga mbili tofauti.Kumbuka Yanga alifungwa nyumbani na Al Hilal, Uarabuni akafungwa, Congo alidraw kwa taabu sana
Unategemea miujiza ipi ππ
Nasema hivi, kocha wa yanga anadanganywa, asije akaamini anapata matokeo na akaridhika, wenzake wanamtengenezea mtelemko nje ya uwanja, kaka stuka.Wewe ulipomfunga fountain gate zile goli 4 na Tabora zile goli 3 mbona atukuona makocha wao wanaumia? Leo hii ndio umeona makocha awaumii? Wakati mnawafunga wachezaji wao walikuwa wanakaba isipokuwa dhidi ya yanga awakabi!!!
Mbumbumbu ni kansa nyingine ndani ya hii NCHI!