Yanga wanapangiwa matokeo nje ya uwanja, Timu hazikabi, Makocha hawaoneshi kuumia

Yanga wanapangiwa matokeo nje ya uwanja, Timu hazikabi, Makocha hawaoneshi kuumia

Poleni sana makolo kwa kuumizwa na kipigo cha leo, bt pungezeni milio maana nanyi mtafikiwa soon.
Mechi ya kwanza Ndani ya dk 90 ulishindwa kupata hata goli la offside tena simba ikiwa inajitafuta.
 
ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.

kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Timu ya Mwigulu ulitarajia nini kifanyike zaidi ya kilichofanyika?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kama Unaona Fountain Gate Kufungwa Goli Tano Wameonewa,Letee Wewe Timu Yako
20241229_200104.jpg
 
Back
Top Bottom