hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 3,553
- 7,334
Wewe tulivyokufunga tano yalikuwa ni makubaliao au sio makubaliao?Hicho si kipigo ni makubaliano. Hii tff bure kabisa, kama wanajifanya hawaoni basi ni wehu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tulivyokufunga tano yalikuwa ni makubaliao au sio makubaliao?Hicho si kipigo ni makubaliano. Hii tff bure kabisa, kama wanajifanya hawaoni basi ni wehu
Kwani ubaya ubwela vipi?ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Wanawaonea wivu fountain gate kufungwa 5G kama wao.Sikutarajia kama hiki kipigo cha 5 kwa fountain gate kitawaumiza makolo kwa kiwango hiki.
Poleni sana mtazoea tu.
Kwani nyie simba hamtaki wengine wafungwe 5G kama nyie?Nasema hivi, kocha wa yanga anadanganywa, asije akaamini anapata matokeo na akaridhika, wenzake wanamtengenezea mtelemko nje ya uwanja, kaka stuka.
Mechi ya kwanza Ndani ya dk 90 ulishindwa kupata hata goli la offside tena simba ikiwa inajitafuta.Poleni sana makolo kwa kuumizwa na kipigo cha leo, bt pungezeni milio maana nanyi mtafikiwa soon.
Nikumbushe matokeo kolomanMechi ya kwanza Ndani ya dk 90 ulishindwa kupata hata goli la offside tena simba ikiwa inajitafuta.
Get well soonligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Timu ya Mwigulu ulitarajia nini kifanyike zaidi ya kilichofanyika?ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Maduka si mliyasajili huko kwenu mbona unatoa ufahamuKwani Ata nyie Makolo mlivopigwa 5 mlikuwa hamkabi?.!
Hawa ni mabwabwa ubwabwaNchi hii una mabwabwa wengi sana.
Mnawaonea wivu Fountain kula tano, wewe subiri zamu yao.Nasema hivi, kocha wa yanga anadanganywa, asije akaamini anapata matokeo na akaridhika, wenzake wanamtengenezea mtelemko nje ya uwanja, kaka stuka.
Ukiwaonyesha huu msimamo sukari zao zinawapanda ghafla tuYanga anapambania nafasi ya 3
View attachment 3187956
Ujinga ujinga kama huu mwaka kama mkalmbwa ✊bado hamja komaNasema hivi, kocha wa yanga anadanganywa, asije akaamini anapata matokeo na akaridhika, wenzake wanamtengenezea mtelemko nje ya uwanja, kaka stuka.