Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Nioneshe timu yenye picha kama hii zaidi ya YangaKimataifa vp ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nioneshe timu yenye picha kama hii zaidi ya YangaKimataifa vp ??
Mwambie...Wewe tulivyokufunga tano yalikuwa ni makubaliao au sio makubaliao?
Akikuonyesha nakunya mavi pipa zima🤣Nioneshe timu yenye picha kama hii zaidi ya YangaView attachment 3188184
Bado hujasema! Timu yako imefungwa mara 4 mfululizo! Na yenyewe ilikuwa haikabi? Ilipanga matokeo?ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, wachezaji wanajifunga, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
GUSA ACHIA TWENDE KWAOligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, wachezaji wanajifunga, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Sasa ndio utulize mshono kushoboka na matokeo ya Fountain hata wewe ulikula tano na Yanga tupo nyuma tunaipeleka moto Kolo FC.
Wewe zamu ya itafika ya kupigwa mara tano mfululizo.
Mlivyo kula tano Kayoko alikuwepo? We tulia upelekewe moto mwanaume anakuja.View attachment 3188846
Bila usaidizi wa kayoko ni maneno tu ya khanga
Moto mmeshindwa kupelekea azamMlivyo kula tano Kayoko alikuwepo? We tulia upelekewe moto mwanaume anakuja.
Wewe na Azam si ulibebwa na goli zote za offside. Kwani wewe nani alikupelekea moto msimu huu kila kibonde na mbabe wake, we subiria nikugonge kwa mara nyingine ya tano.Moto mmeshindwa kupelekea azam
Tabora united
Al hilal na mc alger uhangaike na mimi ambae sio saizi yako we kweli MWIKO NYUMA
Kombe la akina mama uliveshwa shanga ukaipeleka ikulu na mpaka leo unashinda nayo maungoni pako na kujisifia nna shanga ya shirikisho Mapovu mengi chomoa kwanza huo mwiko huko nyuma halafu tuongeeWewe na Azam si ulibebwa na goli zote za offside. Kwani wewe nani alikupelekea moto msimu huu kila kibonde na mbabe wake, we subiria nikugonge kwa mara nyingine ya tano.
Mimi kweli sio saizi yako ndio maana upo confederation kombe la akina mama ( kwa mujibu wa Kaduguda) mimi nipo Championship.
Aliyesema kiongozi wako Kaduguda so kwa hiyo huko mnacheza huku mnavaa shanga.Kombe la akina mama uliveshwa shanga ukaipeleka ikulu na mpaka leo unashinda nayo maungoni pako na kujisifia nna shanga ya shirikisho Mapovu mengi chomoa kwanza huo mwiko huko nyuma halafu tuongee
Kwani hukufika fainali ukapewa zawadi ya shanga wewe ukaepeleka mpaka ikulu naona umeumia sana kufika mashindano ya wanawake na kuzawadiwa shanga 🤣Aliyesema kiongozi wako Kaduguda so kwa hiyo huko mnacheza huku mnavaa shanga.
Hatufani kama ulivyo sema level mbili tofauti.Sasa nani ana povu wewe hujiamini na hiyo nafasi uliyo tushikia ndio mwanaume nipo nyuma yako na kupelekea moto nakuja.
Kumbe ushakubaluana na kuongozi wenu ni mashindano ya wanawake so ni sawa na kusema mmepeleka timu ya kike shirikisho.Kwani hukufika fainali ukapewa zawadi ya shanga wewe ukaepeleka mpaka ikulu naona umeumia sana kufika mashindano ya wanawake na kuzawadiwa shanga 🤣
Huko champions league unapoint ngapi na magoli mangapi mpaka sasa
Moto umepelekewa na tabora united mpaka ukafukuza kocha tulia wewe mwiko nyuma usiteseke sana mwiko wako utakuchana
Championship una point ngapi na msimamo wa kundi lenu ukoje 🤣Kumbe ushakubaluana na kuongozi wenu ni mashindano ya wanawake so ni sawa na kusema mmepeleka timu ya kike shirikisho.
Wanaume tupo championship tunapambana kwani nafasi tunayo, vip ww huko kwa wakina mama ushafuzu?
Kwani wewe ulizo nazo unashika nafasi ya ngapi?Championship una point ngapi na msimamo wa kundi lenu ukoje 🤣
Kwani wewe ulizo nazo unashika nafasi ya ngapi?