GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kama Unaona Fountain Gate Kufungwa Goli Tano Wameonewa,Letee Wewe Timu Yako
View attachment 3187998
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Unaona Fountain Gate Kufungwa Goli Tano Wameonewa,Letee Wewe Timu Yako
View attachment 3187998
Mnawaonea wivu Fountain kula tano, wewe subiri zamu yao.
Bila sindano mwiko nyuma weupe kama toilet paperYanga iliyofungwa na Azam,Tabora,Al hilal na Mc alger na kudraw na Mazembe na Yanga hii ya mechi 4 nyuma ni Yanga mbili tofauti.
Ukiziangalia kwa jicho la mpira utaona utofuti huo.
Ila ukiziangalia kwa jicho la Rage hautoona huo utofauti.
Baada ya kujipata matokeo yakwawaje?Mechi ya kwanza Ndani ya dk 90 ulishindwa kupata hata goli la offside tena simba ikiwa inajitafuta.
Na makundi hamvukiTulifungwq na Azam, mara Tabora mkafanya sherehe
Wanaongoza ligi lakini wana tetemekaHii hali mliyonayo sasa Makolo ndo tulikuwa tunaitaka.
Na bado.
Nyie mpo kundi gani champions League?Na makundi hamvuki
Tuko yale mashindano mliochukua shanga mkatutambia nazo hadi mkazipeleka ikulu na sasa mmezivaa maungoniNyie mpo kundi gani champions League?
That's not your jobNa makundi hamvuki
Kumbe mnagombaia shanga? basi huna mamlaka ya kuongelea champions LeagueTuko yale mashindano mliochukua shanga mkatutambia nazo hadi mkazipeleka ikulu na sasa mmezivaa maungoni
Simple remainderThat's not your job
Hii nchi ina shida...ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, Makocha hawaoneshi kuumia.
kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza mtelemko, Kipimo cha ukweli ni mechi za kimataifa (MECHI 3 POINT 1)
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024
Hahahaaa. Na kwa hali ilivyo watatetemeka sana. 😂😂Wanaongoza ligi lakini wana tetemeka
Sasa ndio utulize mshono kushoboka na matokeo ya Fountain hata wewe ulikula tano na Yanga tupo nyuma tunaipeleka moto Kolo FC.View attachment 3188014 kwani wewe hukula 5?
😂😂😂Tunataaabikaa tunasurubikaaaa makolo sie tunapigikaaa aaaahhh sie tunaumiaaaaa aaaah
Eeh si mlimnunua manual?Wewe tulivyokufunga tano yalikuwa ni makubaliao au sio makubaliao?
Baada ya kujipata naongoza ligi na kwa bahati mbaya baada ya kujipata bado hatujakutana. Naomba iwe hata kesho.Baada ya kujipata matokeo yakwawaje?