Yanga wanapangiwa matokeo nje ya uwanja, Timu hazikabi, Makocha hawaoneshi kuumia

Yanga wanapangiwa matokeo nje ya uwanja, Timu hazikabi, Makocha hawaoneshi kuumia

Sawa unashika nafasi ya ngapi wewe kama ww,halafu utofauti wako na Yanga upo wapi?
Screenshot_20241231_164105_Chrome.jpg
 
Utofauti upo wapi kwani wanaofuzu wanashika nafasi ya ngapi?
Na akili zako fupi tu unashindwa kujua tofauti? 🤣🤣🤣
Simba kashinda mechi 2 kafungwa 1 na ana point 6
Mwiko nyuma kafungwa 2 na kasare 1 ana point 1
CHomoa kwanza huo MWIKO huko nyuma utaona tofauti vizuri la sivyo 🤣
 
Na akili zako fupi tu unashindwa kujua tofauti? 🤣🤣🤣
Simba kashinda mechi 2 kafungwa 1 na ana point 6
Mwiko nyuma kafungwa 2 na kasare 1 ana point 1
CHomoa kwanza huo MWIKO huko nyuma utaona tofauti vizuri la sivyo 🤣
Kwani una hika nafasi ya ngapi? au unajitoa ufahamu. Maana wanaofuzu wa pili na wa kwanza.
 
Kwani una hika nafasi ya ngapi? au unajitoa ufahamu. Maana wanaofuzu wa pili na wa kwanza.
Bravo kwao nachukua point 3
Cs faxien kwao nachukua point 3
Costantine kwetu napiga au na sare
Nipe hesabu zenu au kama vipi
JIshikilie vizuri na MWIKO wako nyuma 🤣
 
Bravo kwao nachukua point 3
Cs faxien kwao nachukua point 3
Costantine kwetu napiga au na sare
Nipe hesabu zenu au kama vipi
JIshikilie vizuri na MWIKO wako nyuma 🤣
Mpira wa kwenye makaratasi kila timu ina nafasi hata Mimi mechi zote na chukua points tisa.

Nikimaliza kwenye CAF na rudi kwenye ligi kukupelekea moto maana na kupumulia kwa nyuma.
 
Mpira wa kwenye makaratasi kila timu ina nafasi hata Mimi mechi zote na chukua points tisa.

Nikimaliza kwenye CAF na rudi kwenye ligi kukupelekea moto maana na kupumulia kwa nyuma.
Unajipa matumaini tu CAFCL mnaishia MAKUNDU-CHI
huku umeshindwa kupeleka moto kwa tabora united utaiweza simba acha kuota amka utajikojolea 🤣
Tangu utolewe bikra na azam ukapigwa na tabora 3-1 ukapiga na al hilal 2 mtungi ukapigwa na mc alger tundu limekuwa ziboooo 🤣
 
Uto wameimarika sana, kwenye hilo picha walikuwa wabovu nje ndani kote vipigo. Sasa wamejipata ndani matokeo chanya kabisa, kuthibitisha hypothesis yako ngoja tuone watakaporudi Kimataifa at least 2 matches.
 
Unajipa matumaini tu CAFCL mnaishia MAKUNDU-CHI
huku umeshindwa kupeleka moto kwa tabora united utaiweza simba acha kuota amka utajikojolea 🤣
Mimi na kutaka wewe na ndio maana nimekugonga mara nne mfululizo na bado na kupelekea moto kwa nyuma na kusbiri round ya pili ni kugonge mara tano.

Hata wewe utaishia makundi.
 
Mimi na kutaka wewe na ndio maana nimekugonga mara nne mfululizo na bado na kupelekea moto kwa nyuma.

Hata wewe utaishia makundi.
WE umezoea kuteswa na MWIKO WAKO NYUMA unaona kila mtu ana mwiko nyuma
We tuliza shanga zako za shirikisho hapo avic town
 
WE umezoea kuteswa na MWIKO WAKO NYUMA unaona kila mtu ana mwiko nyuma
We tuliza shanga zako
Tuliza kiuno hiko mwanaume nipo nyuma na kupumulia hizi kelele zinaonesha najua kupeleka moto mpaka hujiamini kileleni.
 
Kwamba Simba walivyokula kipigo cha bao 5 na Yanga walikuwa wameshikishwa bahasha? au sijaelewa!
 
wanasema game zote 3 wanakamua ili wamalize na point 10
Mkakati huo wanaanza na mazembe Taifa.

Sijui maana mazembe huifungi kwa dili dili ka za Dodoma Jiji na KenGold.
 
Back
Top Bottom