Yanga wanashindana na nani?

Mbona mnahangaika sana,angalia timu yenu mkuu
 
Kwer kabsaa mfano hao wanaotamba na hela za bure za mwarabu wa G.S.M, wanachokitafuta kwa huyo mwanaume watakipata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unamaanisha MO kuna watu wamekipata kutokana na kutoa hela zake?
 
Gharib anakuja kuwa mwekezaji soon hizo rasharasha May 2020
 
Kuna watu wana vipaji ila hawajajingundua tu, boss unafaa kuimba taarabu, haki ya Mungu ukienda huko unatobowa
 
Du
Yanga haina wa kushindana naye Tanzania kwa sasa.
Inajaribu kushindana na historical champions katika nchi nyingine.
Du nchi nyingine kwa mpira gani huu wa kutolewa raundi ya pili? Yanga haitaweza kuivunja rekodi ya Simba kimataifa,endeleeni kutembeza bakuli kama Ndanda FC ndio saizi yenu kimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ulipoandika nazani baadala ya 'nadhani' inaonesha wewe ni mtu wa kiwango gani ...binafsi sina haja ya kupoteza nguvu kuijibu hoja hii mfilisi
 
DuDu nchi nyingine kwa mpira gani huu wa kutolewa raundi ya pili? Yanga haitaweza kuivunja rekodi ya Simba kimataifa,endeleeni kutembeza bakuli kama Ndanda FC ndio saizi yenu kimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Record ya kuchukua kombe lipi kimataifa? Second best is nothing. Almost a man is nothing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…