Soma uelewe kwanza acha kukurupuka. Issue sio kugawa jezi issue ni kutoka nje ya uwanja baada ya taratibu za mechi kukamilika ikiwepo kukaguliwa na kuline up.Huwa natumia kauli moja tu Kwa watu kama wewe; "Kuna watu mnasababisha mashabiki wa Simba waonekane Mbumbumbu". Yaani hili la kugawa jezi nalo kwako ni nongwa?
Weka hicho kifungu kinachokatazaSoma uelewe kwanza acha kukurupuka. Issue sio kugawa jezi issue ni kutoka nje ya uwanja baada ya taratibu za mechi kukamilika ikiwepo kukaguliwa na kuline up.
Mkia wewe msaidie mkia mwenzio lialia kuweka kifungu
naomba kifungu cha hiyo sheria nifanye marejeoSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
WivuSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.