Yanga wanavunja sheria/kanuni hii. Na TFF/Bodi ya Ligi wako kimya tu

Yanga wanavunja sheria/kanuni hii. Na TFF/Bodi ya Ligi wako kimya tu

Huwa natumia kauli moja tu Kwa watu kama wewe; "Kuna watu mnasababisha mashabiki wa Simba waonekane Mbumbumbu". Yaani hili la kugawa jezi nalo kwako ni nongwa?
Soma uelewe kwanza acha kukurupuka. Issue sio kugawa jezi issue ni kutoka nje ya uwanja baada ya taratibu za mechi kukamilika ikiwepo kukaguliwa na kuline up.
 
Soma uelewe kwanza acha kukurupuka. Issue sio kugawa jezi issue ni kutoka nje ya uwanja baada ya taratibu za mechi kukamilika ikiwepo kukaguliwa na kuline up.
Weka hicho kifungu kinachokataza
 
Sheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
naomba kifungu cha hiyo sheria nifanye marejeo
 
Sheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Wivu
 
Back
Top Bottom