Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Wajeeeeeeeeeeeeeee,Zanzibarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Ole wenu TFF mlibanie hili
Mkibana tunatibua issue ya Ruzuku
Najua malinzi ni Member humu,badili katika watu waje kucheza huku
Angalau wasioijua Zanzibar watakuja na kufanya Utalii wa Ndani uongezeke.
NB:Makampuni ya Utalii muda wenu Huu na Zanzibar Commission for Tourism
Sio mkae kazi wazungu tuuuuuuuu,kisa wazawa kipato kidogo.Tuwekewe heshima wajameni
Tangazeni promo kadhaa na tumieni fursa ya uwepo wa Yanga hapa,sio lazima malazi,mnaweza kuandaa Gourps sharing Trips kadhaa kama
-Dolphin Trip Tour
-Sunset Dhow Cruise
-Prison Island Trip
-Historical Guided Stonetown Tour
-Safari Blue Adventure
-Sand Picnic Trip
-Spice Tour
nk
Hapa mnaweze kutumia sharing services yakatoka Ma Coach yale na Coasters watu wakapiga trip kwa bei chee kabisa na Serikali ikapata mapato na wananchi wakapata Mapato.
Sasa mwisho wa Siku mtu akitembea anakuwa ni balozi,akirudi anamuambia mweingine aje,sasa kila siku watu watakuwa wanaongezeka na mwisho wa siku watakuwa wanakuja bila hata ya Kuwa na Mechi.
Mkishindwa nitaitumia fursa hii,ila sitaki Majungu,maana mwanzo watu watakuona kama Chizi,ukianza kupata mafanikio majungu yanaanza.Maana tunajuana
Ole wenu TFF mlibanie hili
Mkibana tunatibua issue ya Ruzuku
Najua malinzi ni Member humu,badili katika watu waje kucheza huku
Angalau wasioijua Zanzibar watakuja na kufanya Utalii wa Ndani uongezeke.
NB:Makampuni ya Utalii muda wenu Huu na Zanzibar Commission for Tourism
Sio mkae kazi wazungu tuuuuuuuu,kisa wazawa kipato kidogo.Tuwekewe heshima wajameni
Tangazeni promo kadhaa na tumieni fursa ya uwepo wa Yanga hapa,sio lazima malazi,mnaweza kuandaa Gourps sharing Trips kadhaa kama
-Dolphin Trip Tour
-Sunset Dhow Cruise
-Prison Island Trip
-Historical Guided Stonetown Tour
-Safari Blue Adventure
-Sand Picnic Trip
-Spice Tour
nk
Hapa mnaweze kutumia sharing services yakatoka Ma Coach yale na Coasters watu wakapiga trip kwa bei chee kabisa na Serikali ikapata mapato na wananchi wakapata Mapato.
Sasa mwisho wa Siku mtu akitembea anakuwa ni balozi,akirudi anamuambia mweingine aje,sasa kila siku watu watakuwa wanaongezeka na mwisho wa siku watakuwa wanakuja bila hata ya Kuwa na Mechi.
Mkishindwa nitaitumia fursa hii,ila sitaki Majungu,maana mwanzo watu watakuona kama Chizi,ukianza kupata mafanikio majungu yanaanza.Maana tunajuana