luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
KawaidaUnamuonea wivu tu.
huyu maza anavyonyonya ile koni kanifanya nikose amani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KawaidaUnamuonea wivu tu.
huyu maza anavyonyonya ile koni kanifanya nikose amani...
Ahaaaa embu niiwacheki wazee wa connection nione kama part two kafanya maajabu😂😂Ipo! Hiyo ni balaa...
KapumbuuuuuuuHivi unajua maana na malengo ya mechi ya kirafiki? Bilashaka Wewe utakuwa babra unashida kweli ebu jifunze mpira na umshauri vizuri Mo,Nafikiri ndiyo maana ulikwepa kufanya tamasha lako Tarehe 28/8 kwa kuogopa aibu ila kumbuka mficha maradhi kifo umuumbua.Utaumbuka tu wewe luka luka ,kimbia kimbia kuficha madhaifu ya kikosi chako Cha Simba ila siku yaja tena wala si mbali Tarehe zimekaribia lazima uyakanyage .
Wasipoomba msamaha wewe utafanyaje?View attachment 1917873
Ukiachana na kujaza uwanja mengine yote na kila kitu kilidoda.
Kwenye pitch walicheza mechi 3,mbili wakachezea kichapo na moja ndoo
Kwenye burudani kulikuwa na Koffi mambo aliyofanya ni aibu ya mwaka. Baadae alikuja msaani mwingine anaitwa Kabwili nadhani ni kipa yule. Msikilize alichoimba
mtu asipochukua ushauri wako huwa unamfanyajeWasipoomba msamaha wewe utafanyaje?
Unaniuliza swali tena...mtu asipochukua ushauri wako huwa unamfanyaje
najaribu kupima kama unafikiria sawasawaUnaniuliza swali tena...