Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Si ndo hapo sasa. Anatafuta attention tuWewe si ulisema hutaandika habari kuhusu Simba?
ni ka dinfi tuKama nitakuwa sijakuchanganya ni wewe uliyeandika kwamba utazungumzia tena Simba imekuwaje tena?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huyo ni fala tu hata hajui anataka niniWewe si ulisema hutaandika habari kuhusu Simba?
Mmeanza kupreempty kipigi mapema,eenheeWachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.
Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.
Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
Hii inaonyesha tu ulivyochanganyikiwa wewe binafsi na siyo Wanasimba wote. Umeandika Kwa hasira zilizochanganyika na huzuni, mhemko, kisrani na gubu kiasi kwamba hapo ulipo hata akikatisha mwanasimba aliyevaa t-shirt ya CCM itamlamba vibao.Wachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.
Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.
Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
Muonee tu huruma. Alishasahau.Wewe si ulisema hutaandika habari kuhusu Simba?
Wanacheza tarehe 25. Jumamosi ya kwanza tu baada ya international breakMnacheza nao lini?
Wapi nimeitaja Simba?Wewe si ulisema hutaandika habari kuhusu Simba?
Wapi nimeitaja Simba ktk andiko langu?Si ndo hapo sasa. Anatafuta attention tu
Wapi nimetaja jina la Simba?Kama nitakuwa sijakuchanganya ni wewe uliyeandika kwamba utazungumzia tena Simba imekuwaje tena?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app