Yanga wapeni silaha Asec watupige nyingine 5 tugawane mbao kabisa

Yanga wapeni silaha Asec watupige nyingine 5 tugawane mbao kabisa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Wachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.

Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.

Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
 
Pambaneni nyinyi msikae kiboyaboya kupigwa Tano ni sehemu ya michezo tu.

Na kama Simba mnamishabiki ya namna hii na inakadi ya uanachama ifukuzeni,Sasa limtu kama hili linaweza kuwapa ushauri au kukandia tu! Karagabao!
 
Wachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.

Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.

Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
Mmeanza kupreempty kipigi mapema,eenhee

Msitafute visingizio

Pambaneni

Aahaaaa
 
Wachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.

Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.

Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
Hii inaonyesha tu ulivyochanganyikiwa wewe binafsi na siyo Wanasimba wote. Umeandika Kwa hasira zilizochanganyika na huzuni, mhemko, kisrani na gubu kiasi kwamba hapo ulipo hata akikatisha mwanasimba aliyevaa t-shirt ya CCM itamlamba vibao.
Ulipoahidi kutorudi tena JF kuiongelea Simba wengi tuliona umefanya Jambo la busara maana Tangu siku ya mechi ulionyesha hauko sàwa Kwa hiyo ilikuwa vizuri kujipa Muda wa kupumzika kupoza maumivu. Lakini Leo Mwanasimba kujitokeza kuiombea mabaya zaidi timu yako ifungwe zaidi na Asec kwenye mashindano mengine ili tu usiowataka wadhalilike na waondoke au mgogoro ukomae zaidi siyo Jambo jema.
Binafsi nakubaliana na wewe kwenye maandishi yako mengine kuhusu Tabia ya viongozi wa Simba hasa wakati wa usajili kujihusisha na 10% na wengine kuleta Wachezaji Kwa mihemko. Najua kuna makubaliano ya Siri Kati ya Saidoo na Jaribu Tena kuhusu kupangwa Kila Mechi isipokuwa akiwa majeruhi. Najua pia kilichomuondoa Kakolanya Simba ni kudaiwa sehemu ya fedha za usajili na Jaribu Tena lakini yeye akasema hazitoshi maana ameanza ujenzi wa mgahawa wake kwao Mbeya (Kakolanya Food Point) hivyo anahtaji fedha zaidi na hatakuwa na ziada ya kumgawia. Wachezaji kama Sawadogo, Onana nk watu Wana watu wao.
Lakini hayo yote mlitakiwa kuyasema wakati wa Mkutano Mkuu. Pale ndipo Simba mnapopoteana na kugawanywa Kwa Kipande cha khanga.
Tafadhali himizeni mabadiliko Kwa njia nyoofu lakini si Kwa kupitia maumivu ya kufungwa goli nyingi na Asec tena Kwa kuomba mbinu toka Kwa Mpinzani wenu Mkuu Yanga.
 
Kuna Mmoja aliamua kujifungia ndani asitazame kabisa mechi ya Simba na yanga I Hali yeye ni mkia kinda kindaki walipofunga wenzie wakampigia timu Yao inaongoza akaamua kuja kuwazomea yanga , alipokanyaga tu mlango wa Banda umiza mayere akatetema mama weee ikabidi anyweee kimya gafla tena mayere akatetema hehehehe jamaaa acha tu
 
Sasa hivi ni mwendo wa 5G tu. Yeyote atakayecheza na Simba ni kujipigia gori tano. Yanga wa kwanza kuweka mzizi
 
Back
Top Bottom