Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wachezaji Pacome, Yao Yao wametoka Asec, kwa vyoyyote vile Yanga mna ukaribu na Asec, jamaa wanakuja kucheza na timu mliyoipiga mabao 5 hadi imechanganyikiwa na haielewani tena.
Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.
Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.
Nawaomba wapeni silaha zote mlizotumia ikiwemo wale waganga wa Zanzibar kutoka Pemba wasiomjua mungu, tupigwe migoli 5 mingine tugawane mbao, inshaallah Asec mtazingatia maelekezo na ushauri wa Yanga.
Mnaoenda uwanjani kuiangalia Asec nendeni na furaha, hamkani si shwari.