njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hilo si group kama la mwaka juzi tu kaongezeka el mereikh tu hapo..ambao ni wa 31 simba wa 17 kuweni na heshima nyieeeeUoga+Wivu+Chuki......
Al Ahly.....
El Merreikh...
AS Vita.......
Tukutane fainali kombe la Mapinduzi......
Nisalimie yule PAKA MWEUSI wa pale uwanjani wiki iliyopita.....
Yaani Ahly bingwa wa michuano hii unasema ni group tu Kama la mwaka juzi kwa taarifa yako hao mabingwa na AS Vita wameimarika maradufu.hilo si group kama la mwaka juzi tu kaongezeka el mereikh tu hapo..ambao ni wa 31 simba wa 17 kuweni na heshima nyieeee
Fainali sisi na ninyi.Usitukimbie tu hakikisha unamtoa azam
Inashngaza sana utopolo mnapambania ubingwa wa vpl ili muende champions league halafu mkisikia simba kapangwa na hizo teams mnaanza kuogopa na kulialia mnadhani mkifika group stages (KAMA MKIFIKA MAANA HAMUWEZI) mnataraji amtacheza na kina ihefu?Yaani Ahly bingwa wa michuano hii unasema ni group tu Kama la mwaka juzi. Kwa taarifa yako hao mabingwa na AS Vita wameimarika maradufu.
Ni kweli wote walikuja hapa. Hii inakuwa hatari zaidi ya wageni Merreikh wasiojua fitna zenu koko muwako kwa Mkapa.
Pitso Mosimane ni fundi wa fitna haswaa.
Ni Namungo pekee waliowahi kupata point Sudan.
Nisalimie yule PAKA wenu MWEUSI!
na namungo anakaribia kupata point 1 kwenye Caf 5 year ranking ssytem maana kuna vilaza for the past 5 years wana point 1 tuYaani Ahly bingwa wa michuano hii unasema ni group tu Kama la mwaka juzi kwa taarifa yako hao mabingwa na AS Vita wameimarika maradufu.
Ni kweli wote walikuja hapa. Hii inakuwa hatari zaidi ya wageni Merreikh wasiojua fitna zenu koko muwako kwa Mkapa.
Pitso Mosimane ni fundi wa fitna haswaa.
Ni Namungo pekee waliowahi kupata point Sudan.
Nisalimie yule PAKA wenu MWEUSI!!
majitu kama haya ni ya kuyacheka tu fitina fitiina fitiina hadi hizi season ya CAFL iishe simba itakuwa ranked number 13 au 12..eeeheee kidedeeeaaUnakipaji chakusuta.
Sawa....na namungo anakaribia kupata point 1 kwenye Caf 5 year ranking ssytem maana kuna vilaza for the past 5 years wana point 1 tu
Utopolo ni sawa na fisi anayemfuata mtu kwa nyuma usiku akitembea atadondosha mkono wakati akitembea ,mlianza kwa Plateu hadi kuwapokea uwanja wa ndege ,kwa Platnumz kwenda kuwapokea mkaona aibu mkawa mnapiga kelele tu wanaume bado tunasonga.Uoga+Wivu+Chuki......
Al Ahly.....
El Merreikh...
AS Vita.......
Tukutane fainali kombe la Mapinduzi......
Nisalimie yule PAKA MWEUSI wa pale uwanjani wiki iliyopita.....
Kishingo baada ya kuondoka tu mmemsainisha Clatous Chama usikuusiku 🤣🤣 Mikia mnaijenga timu kupitia Chama tu....endeleeni kuomba asiumie na kukaa nje kipindi kirefu tu...inashngaza sana utopolo mnapambania ubingwa wa vpl ili muende champions league halafu mkisikia simba kapangwa na hizo teams mnaanza kuogopa na kulialia mnadhani mkifika group stages (KAMA MKIFIKA MAANA HAMUWEZI) mnataraji amtacheza na kina ihefu?
WE ARE RANKED NUMBER 17TH in africa hatuogopi weweweee,sisi ndo wataalamu
Ahly tuliwafunga ,AS Vita tuliwafunga ,una loloteYaani Ahly bingwa wa michuano hii unasema ni group tu Kama la mwaka juzi kwa taarifa yako hao mabingwa na AS Vita wameimarika maradufu.
Ni kweli wote walikuja hapa. Hii inakuwa hatari zaidi ya wageni Merreikh wasiojua fitna zenu koko muwako kwa Mkapa.
Pitso Mosimane ni fundi wa fitna haswaa.
Ni Namungo pekee waliowahi kupata point Sudan.
Nisalimie yule PAKA wenu MWEUSI!!
Watoe kwanza azam uje kupiga kelele humu usikuFainali sisi na ninyi.....
Sawa.....Utopolo ni sawa na fisi anayemfuata mtu kwa nyuma usiku akitembea atadondosha mkono wakati akitembea ,mlianza kwa Plateu hadi kuwapokea uwanja wa ndege ,kwa Platnumz kwenda kuwapokea mkaona aibu mkawa mnapiga kelele tu wanaume bado tunasonga.
Now tupo makundi bado mnalalamika,hatua tuliyopiga hata miaka 10 hamfiki
Kwani anajua kitu basi huyo,hapo yuko anakatika kwenye kibao kataAhly tuliwafunga ,AS Vita tuliwafunga ,una lolote