Pamoja na promo kubwa iliyofanyika kupromote makala ambayo hata Mtibwa wameshafanya, mwitikio umekuwa mdogo sana leo kiasi kwamba Yanga imeshindwa kujaza kaukumbi kadogo tu ka sinema.
Hawa watani zangu wanajua kujaza sahani za ubwabwa tu ila mengine yote yanawashinda.
View attachment 2711452
View attachment 2711455
Failure kila konaPamoja na promo kubwa iliyofanyika kupromote makala ambayo hata Mtibwa wameshafanya, mwitikio umekuwa mdogo sana leo kiasi kwamba Yanga imeshindwa kujaza kaukumbi kadogo tu ka sinema.
Hawa watani zangu wanajua kujaza sahani za ubwabwa tu ila mengine yote yanawashinda.
View attachment 2711452
View attachment 2711455
Hii ni sentensi ya mwisho ya mgonjwa imemtoka akiwa hoi kitandani baada ya mchango wa kununua dawa kutofanikiwa.🤔Tujaze tusijaze makombe ndo ya muhimu tu!
Aahaaaatuanze league tu maneno mengiiii hayana maana
Kwenye hiyo documentary wamekumbuka kuliweka goli la kibu Dennis?Pamoja na promo kubwa iliyofanyika kupromote makala ambayo hata Mtibwa wameshafanya, mwitikio umekuwa mdogo sana leo kiasi kwamba Yanga imeshindwa kujaza kaukumbi kadogo tu ka sinema.
Hawa watani zangu wanajua kujaza sahani za ubwabwa tu ila mengine yote yanawashinda.
View attachment 2711452
View attachment 2711455
Nuksi imeshaanza na hapo bado Kudadadeki...!!Pamoja na promo kubwa iliyofanyika kupromote makala ambayo hata Mtibwa wameshafanya, mwitikio umekuwa mdogo sana leo kiasi kwamba Yanga imeshindwa kujaza kaukumbi kadogo tu ka sinema.
Hawa watani zangu wanajua kujaza sahani za ubwabwa tu ila mengine yote yanawashinda.
View attachment 2711452
View attachment 2711455