Yanga washindwa kujaza ukumbi wa sinema

Yanga washindwa kujaza ukumbi wa sinema

Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 makwega7 njooni muone huku msimu huu kuna shindano lao jipya ambalo wamelimeona litawafariji. Wamekuja na shindano la kujaza. Misimu iliyopita walikuwa na makombe ya Goli la sako, kufika robo fainali, kupostiwa na CAF, timu ya week, kombe la Twitter, kumfunga Yanga(a.k.a Mangungu cup) wakati Yanga wakishangilia ubingwa wa ngao ya jamii, ligi kuu na kombe la Azam federation. Kwa kifupi mnashindana katika vitu visivyokuwa na maana kwenye medali ya soka.
 
Wakati sie tunashangilia kujaza makombe, makolo wanashangilia kujaza uwanja😂😂
 
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 makwega7 njooni muone huku msimu huu kuna shindano lao jipya ambalo wamelimeona litawafariji. Wamekuja na shindano la kujaza. Misimu iliyopita walikuwa na makombe ya Goli la sako, kufika robo fainali, kupostiwa na CAF, timu ya week, kombe la Twitter, kumfunga Yanga(a.k.a Mangungu cup) wakati Yanga wakishangilia ubingwa wa ngao ya jamii, ligi kuu na kombe la Azam federation. Kwa kifupi mnashindana katika vitu visivyokuwa na maana kwenye medali ya soka.
Umesahau kutaja na makombe yao ya Manzoki na Fei Toto.
Kwa hakika SeMBe Madunduka wana makombe mengi sana.
 
Makolo akili zenu ni half naked. Kwa hiyo sasa hivi mjadala kila mahali ni kujaza kila kitu? Mbona nyie hamjazi makombe kama ambavyo sisi tunafanya. Yan hiyo ndio imekua sehemu yenu ya kujifariji. Tuk8acha kuzungumzia kuhusu kujaza kwa sababu ni pointless kwa sababu hakukua na haja wala sababu ya kubanana kutokana na kulikua na kumbi nyingine lakini kitendo cha kuleta hapa kama hoja inaonyesha makolo mmekosa kabisa point ya kuikosoa Yanga mnakuja na vihoja vya kitoto. Hebu kueni kifikra basi mbona sisi huko tushatoka
 
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 makwega7 njooni muone huku msimu huu kuna shindano lao jipya ambalo wamelimeona litawafariji. Wamekuja na shindano la kujaza. Misimu iliyopita walikuwa na makombe ya Goli la sako, kufika robo fainali, kupostiwa na CAF, timu ya week, kombe la Twitter, kumfunga Yanga(a.k.a Mangungu cup) wakati Yanga wakishangilia ubingwa wa ngao ya jamii, ligi kuu na kombe la Azam federation. Kwa kifupi mnashindana katika vitu visivyokuwa na maana kwenye medali ya soka.
mpira uwanjani umeshindikina bora hata vioja vinawafariji, hio pic imepigwa saa ngapi ? by the way hio event ilikua ya watu walio alikwa alitaka watu wajae? kesho watakuja na shindano la wanawake wenye makalio makubwa wapo timu gani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 makwega7 njooni muone huku msimu huu kuna shindano lao jipya ambalo wamelimeona litawafariji. Wamekuja na shindano la kujaza. Misimu iliyopita walikuwa na makombe ya Goli la sako, kufika robo fainali, kupostiwa na CAF, timu ya week, kombe la Twitter, kumfunga Yanga(a.k.a Mangungu cup) wakati Yanga wakishangilia ubingwa wa ngao ya jamii, ligi kuu na kombe la Azam federation. Kwa kifupi mnashindana katika vitu visivyokuwa na maana kwenye medali ya soka.
Rage aliwaza mbali sana. Hawa jamaa miaka yote wanaishi kwa matukio, na pia kama bendera fuata upepo.
 
Back
Top Bottom