InshallahNajua jambo hili ni ngumu kidogo kuingia masikioni mwa mashabiki wa simba
Maana wamekariri kuwa yanga kimataifa si lolote ni kama Mbeya kwanza tu wakiwa kimataifa ila ukweli ni kwamba Yanga itashangaza watu wengi
Wakiona wanavyo toboa anga kuingia final ya caf
Na ushindi mwingi wa yanga utakuwa una patikana ugenini
Nyumbani watakuwa wanafanya vibaya ila wakifika ugenini ndo moto una waka kweli
Naombeni wote hii post msave kwenye simu zetu mtarudi ku comment
Najua jambo hili ni ngumu kidogo kuingia masikioni mwa mashabiki wa simba. Maana wamekariri kuwa yanga kimataifa si lolote ni kama Mbeya kwanza tu wakiwa kimataifa ila ukweli ni kwamba Yanga itashangaza watu wengi...
Waungwana kumbukueni alieleta uzi sio Sunday Manara wala sio Kikwete.
Mwanzo nilidhani unachambua kisayansi, ila ulipofika hapo kwenye utabiri kwamba watakuwa wanafanya vizuri ugenini na vibaya nyumbani, imedhihirisha kwamba sio uchambuzi wa kiufundi bali unabii.... Na ushindi mwingi wa yanga utakuwa una patikana ugenini. Nyumbani watakuwa wanafanya vibaya ila wakifika ugenini ndo moto una waka kweli
Hilo linajulikana kulingana na namna kikosi chao klivyokamilika kila idara kwa sasa, tiyali wamewabakiza wachezaji wao wote muhimu na wameongeza quality ya wachezaji wachache wanaokuja kuongeza ubora kwenye mapungufu ya msimu uliopita, ivyo haitokuwa timu ya masikhara masikhara kama miaka iliyopita nawaona wakitinga makundi na wakitinga robo fainali ya caf champions league wala sitoshangaa kwakuwa wanayo timu yenye uwezo wa kufanya ivyo kwa sasa, Zile habari za kwamba awafanyagi vizuri kimataifa zitabaki kuwa Kama historia kuanzia msimu huuNajua jambo hili ni ngumu kidogo kuingia masikioni mwa mashabiki wa simba.
Maana wamekariri kuwa yanga kimataifa si lolote ni kama Mbeya kwanza tu wakiwa kimataifa ila ukweli ni kwamba Yanga itashangaza watu wengi.
Wakiona wanavyo toboa anga kuingia final ya CAF.
Na ushindi mwingi wa yanga utakuwa unapatikana ugenini.
Nyumbani watakuwa wanafanya vibaya ila wakifika ugenini ndo moto una waka kweli.
Naombeni wote hii post msave kwenye simu zetu mtarudi ku comment