kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Najua jambo hili ni ngumu kidogo kuingia masikioni mwa mashabiki wa simba.
Maana wamekariri kuwa yanga kimataifa si lolote ni kama Mbeya kwanza tu wakiwa kimataifa ila ukweli ni kwamba Yanga itashangaza watu wengi.
Wakiona wanavyo toboa anga kuingia final ya CAF.
Na ushindi mwingi wa yanga utakuwa unapatikana ugenini.
Nyumbani watakuwa wanafanya vibaya ila wakifika ugenini ndo moto una waka kweli.
Naombeni wote hii post msave kwenye simu zetu mtarudi ku comment
Maana wamekariri kuwa yanga kimataifa si lolote ni kama Mbeya kwanza tu wakiwa kimataifa ila ukweli ni kwamba Yanga itashangaza watu wengi.
Wakiona wanavyo toboa anga kuingia final ya CAF.
Na ushindi mwingi wa yanga utakuwa unapatikana ugenini.
Nyumbani watakuwa wanafanya vibaya ila wakifika ugenini ndo moto una waka kweli.
Naombeni wote hii post msave kwenye simu zetu mtarudi ku comment