Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wamewahi harakaharaka watazindua saa 4 asubuhi leo. Hahahaha. Nafikiri ni kukosa ubunifu au nini sijui? Tangu enzi za KIBEGI hawataki tena yajirudieView attachment 3156669
Leo saa 6 mchana timu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Yanga SC itazindua jezi zake leo 20/11/2024 karibu katoka Uzi huu kupata update za champions league kits
Uzi ambao utakuwa na makovu ya nyuki?Tusubiri uzi sio ule uchafu uliotangazwa leo saa nne
Yes halafu hauna makovu ya nyuki wa taboraWengine wamewahi harakaharaka watazindua saa 4 asubuhi leo. Hahahaha
Na hauna zile goli 5 ulizokula na mara ya mwisho ulikula kimojaYes halafu hauna makovu ya nyuki wa tabora
Husda hiziTimu mbovu.
Jezi mbovu.
Mashabiki wabovu.
Kipunyunyu fc wameona mijezi mibovu wanaogopa kuitambulisha baada ya kuona wanaume wametoa jezi zenye quality ya dunia.
Ndo ulio wafanya mtangaze mapema kabla ya muda??Uzi ambao utakuwa na makovu ya nyuki?
Tunataka tujue mapato yatokanayo na kuuza jezi misimu iliyopita,View attachment 3156669
Leo saa 6 mchana timu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Yanga SC itazindua jezi zake leo 20/11/2024 karibu katoka Uzi huu kupata update za champions league kits
Wewe ni mwanachama wa Yanga SC?Tunataka tujue mapato yatokanayo na kuuza jezi misimu iliyopita,
Yeah,na kadi ninayo mkuu,vipi unasemaje?!Wewe ni mwanachama wa Yanga SC?
Wewe sio mwanachama kama ni hivyo nioneshe muamala wa mwisho uliolipia kadi na Mimi naweka wangu hapaYeah,na kadi ninayo mkuu,vipi unasemaje?!
Nenda kwenye vikao halali ukiwa mwanachama hai utapewa kila data unatakaTunataka tujue mapato yatokanayo na kuuza jezi misimu iliyopita,
Nimeziona kwa mbali ni Jezi mbaya kiasi kwamba hata Chama langu ninalolifundisha na Mapinga FC hawawezi Kuzivaa.View attachment 3156669
Leo saa 6 mchana timu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Yanga SC itazindua jezi zake leo 20/11/2024 karibu katoka Uzi huu kupata update za champions league kits
Some how mzuri hiziYoung Africans SC
πππ ππ ππππ/ππ - ππππ ππππ°View attachment 3156785View attachment 3156786View attachment 3156787
Sawa embu tuoneshe jezi za mapinga fcNimeziona kwa mbali ni Jezi mbaya kiasi kwamba hata Chama langu ninalolifundisha na Mapinga FC hawawezi Kuzivaa.