Yanga watumia GPS vest

Duh!Hao ni marefa tu,hawaipendi Yanga.
Kwa kweli yanga tunaonewa sana uwanjani na nje ya uwanja.

Naamini Simba alihonga wanaotoa kibali.Waache kuhonga waone kama hatutajenga kiwanja cha kisasa hadi washangae
Umekuja mjini lini? Yusuf Manji alitaka kununua nyumba 50 kwa bilioni moja kila moja ..maeneo ya Jangwani ajenge Jangwani city ..manispaa ya Ilala ikamnyima kibali cha kujenga ...hujuma zimeanza zamani..nenda ukagoogle Jangwani city....wewe sio Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana nae yule bladbasketball wahedi mkia yule
, PLAYERTEK brings innovative, performance analytics designed and tailored to sub-elite sports teams and amateur athletes...wewe mjinga unaongelea Playertek angalia vizuri wachezaji wa Yanga wamevaa nini..Bangladesh wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga ilishaanza mchakato wa ujenzi wa uwanja wa mazoezi pale kaunda,manispaa imewanyima kibali ikiwaambia wasubiri kwani serikalini inaandaa plan ya ujenzi wa sehemu yote ya jangwani
Kwamba Yanga inashindwa kujenga uwanja hata wa mazoezi sababu ya hujuma, kawadanganye watoto wa chekechea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hiyo GPS Vest huwa inafunga Magoli mangapi Uwanjani kila mara Yanga SC ikicheza Mechi zake za Ligi Kuu ya Tanzania?
 
Brother usidanganye jf ,hao catapult ndio watengenezaji wa hizi vest
View attachment 1358165
Ebu soma vizuri wana kata timu dolla laki moja ambayo ni sawa na zaidi ya million 23 kwa ajili ya service na huduma zingine..na sio moja
Dollar laki moja sio 23m mkuu,, ni million Mia mbili na kitu so mleta mada aje aseme hapa hicho kisidiria kina cost pesa yote hiyo ama vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga Bariidii Haina Mvuto
😶🤨😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…