kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Yanga wamepigwa hao.Wananchi wenyewe hawana hata shule hivyo si ajabu wameambiwa hivyo na viongozi wao.Halafu walivyo mazuzu wanashangilia eti milioni 24!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uzuzu,million 24 kwa mmoja?
Online inauzwa $40 hadi $150.
Hata ya timu nzima haifiki hiyo bei, au mmepigwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app