Yanga wenye akili ni wawili, Manara katukosea sana

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Manara katukosea sana wana Jangwani kwamba wenye akili ni baba yake na Kikwete tu. Yaani ukiangalia mambo Yanga wanafanya, mashabiki zao points wanazoandika ni kama kuna kaukweli hivi.

Hii kauli inaumiza sana, ametutukana na tukampokea na sasa anagombana na TFF tuko naye lazima kieleweke kutekeleza kauli aliyosema. Ametukosea sana kwamba wenye akili ni wawili Tanzania yote yenye mikoa zaidi ya 25, mwenye akili mmoja anapatikana Pwani(Msoga) na mwingine yuko Dar Es Salaam.

Hii kauli mimi kama mwana Yanga inanivunja sana moyo.
 
Manara katukosea sana wana Jangwani kwamba wenye akili ni baba yake na Kikwete tu.

Yaani ukiangalia mambo Yanga wanafanya ,mashabiki zao points wanazoandika ni kama kuna kaukweli hivi
acha unafiki
Hii timu Ina wapumbavu wengi ,kila kitu kulalamika ,mgealikwa mkekuja na malalamiko mengine hatualikwa vizuri au hatukupewa nafasi ya kutoa maoni kwenye mkutano...
 
Sijawahi kusikia
Pitia hapa chini, uone kuwa nyie ni MAMBUMBUMBU FC


 
Manara katukosea sana wana Jangwani kwamba wenye akili ni baba yake na Kikwete tu.

Yaani ukiangalia mambo Yanga wanafanya ,mashabiki zao points wanazoandika ni kama kuna kaukweli hivi...
Na hajawahi tengua kauli hii wala kuomba radhi hata baada ya kuhamia.
 
Ukiangalia vizuri Kuna ka ukweli flani Hivi.

Kindoki.
Maki yanga.
Daudi yanga
Anuary kigeregere nk

Mhhhhhh yani hii timu hapana.
 
Haji aliongea uongo unaofanana na ukweli, maana hata yeye alivyokubali kufanya kazi nao amejikuta anafanana nao kitabia.

Mambo ya hovyo tunayoyashuhudia huko;
1. Wazee wa hiyo timu wanavyomlilia Rais Mama Samia awasaidie.
2. Msemaji wao anavyowawekea kibesi TFF na Waziri.
3. Mchezaji wao akichezewa rafu uwanjani wao wanaamua kurusha chupa za vinyesi uwanjani - Noma.
4. Kila timu ngeni inayokuja kucheza na Simba wao wanajipendekeza kwenda kuwapokea
5. Kuchana Jezi za mashabiki wa timu nyingine kila timu yao inapocheza mechi ya Kimataifa.
6. Kila timu yao ikikosa ubingwa utawasikia Karia ajiuzuru..... Hayo mambo huwezi kuyasikia kwa majirani zao
7. Kupigwa faini kila msimu kwa tukio la kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usiostahiki.
 
Kuna uwezekano wewe na huyo star wako, wote hamnazo. Maana ulicho kiandika hapa, hata wewe mwenyewe ukirudia kusoma huwezi kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…