ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwako Haji ni mtu wa maana sana, kiasi kwamba analosema unalibeba kama sheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana uto...huyo ...😂😂shabiki wa SIMBA wewe tunakujua.
So sad!!ina maana na Tate Mkuu naye yumo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama akitengua kauli ama kuomba radhi hawezi kufuta hiyo kauli yenye ukweli wote.Na hajawahi tengua kauli hii wala kuomba radhi hata baada ya kuhamia.
Halafu..!! Manara aliyatamka yale akiwa SImba..!! Kwamba anaendeleza utani wa jadi kwa namna ile.. Bwana RAGE yeye aliyasema ya UMBUMBUMBU wa wana Simba HUKU AKIWA NI MWENYEKITI WA SIMBA..!! Unaweza ukaiona hiyo tofauti..!!Hata kama akitengua kauli ama kuomba radhi hawezi kufuta hiyo kauli yenye ukweli wote.
basi aombwe aongeze wawe watatu Tate Mkuu awe mtu wa tatu
haishangazi kama wenye akili hamnaMkuu uwe na AMANI , Manara hakukosea bali alichosema ni ukweli . Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Vipi kuhusu hili la kinyesi kugonga chupi , lenyewe haliwaumizi?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
lakini pia yule kocha Lucy maneno aliyoongea yalikuwa mazitoHalafu..!! Manara aliyatamka yale akiwa SImba..!! Kwamba anaendeleza utani wa jadi kwa namna ile.. Bwana RAGE yeye aliyasema ya UMBUMBUMBU wa wana Simba HUKU AKIWA NI MWENYEKITI WA SIMBA..!! Unaweza ukaiona hiyo tofauti..!!
Kwa maneno mengine, MANARA alikuwa anaendeleza utani wa jadi, lakini RAGE ALIMAANISHA KUWA WANASIMBA NI MAMBUMBUMBU maana aliyasema hayo akiwa ndani ya Simba na tena. Inawezekana na yeye alijiita ni MBUMBUMBU maana wakati anayatamka hayo nawe alikuwa mwanasimba
Mnahitaji kupewa tuzo aisee kwa kuyasikiliza, na kuyaenzi maneno ya mtu kama Haji Manara!basi aombwe aongeze wawe watatu Tate Mkuu awe mtu wa tatu
Hawa jamaa huwa wanatafta faraja hapo amekaa akawaza jinsi timu yao inawapa mateso akatafta angle ya kugawana maumivu siku hizi neno bahasha limeyayuka tangu tulivyo wabashia August 13Mnahitaji kupewa tuzo aisee kwa kuyasikiliza, na kuyaenzi maneno ya mtu kama Haji Manara!
Binafsi namchukulia huyo jamaa kama mropokaji fulani hivi, asiyeweza kuuzuia mdomo wake kuongea chochote kile kinachomjia kutoka kwenye akili yake.
USIUMIE SANA MWINGINE WA 3 ATAPATIKANA BAADA YA SENSA AUGUST 23 HUENDA NDO WEWE, OMBI: KUWA TAYARI KUHESABIWA BAHATI YA KUWA NAMBA TATU ISIKUPITE, MI NPO TAYARI UKICHEZA HIYO NAMBA 3 NAKUA MIMI[emoji23][emoji23][emoji23]acha unafiki