Yanga ya sasa sio kipimo kizuri cha kumfukuza kocha wenu

Yanga ya sasa sio kipimo kizuri cha kumfukuza kocha wenu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kama timu itapoteza mechi yake dhidi ya Yanga ya sasa ijue kuwa sio uzembe wa kocha, wachezaji Wala viongozi, imefungwa na timu Bora nchini kwa msimu huu wa 21/22. Hivyo ni kosa kuwa kuchukuwa maamuzi dhidi ya kocha, mchezaji au kiongozi wa timu.

Yanga Sasa isingetoka haraka vile kwenye ligi ya champions. Wachezaji wote wa Yanga kama wakihamia timu yoyote nchini watapata namba kikosi Cha kwanxa kwenye timu hizo.

Nimewasikia mashabiki wa Azam wakilia na timu Yao eti baada ya kufungwa na Yanga, wanafanya makosa makubwa. Azam kufungwa goli moja tu na pyramids ni kuonyesha kuwa Azam Iko vizuri ila Yanga Iko vizuri zaidi hasa baada ya kuukosa ubingwa kwa misimu 4 mfululizo.

Sema tu Azam inakosea sana kuwafungia baadhi ya wachezaji wake ambao huenda wangeisadia timu. Waache kulazimisha mambo, wachezaji Wana haki zao.
 
Azam imewafungia wachezaji wao waandamizi. Mpumulela Dube Prince bado hajawa fit kucheza. Unapoteza mechi tena dhidi ya timu kama Yanga kisha unalia na kocha!? Tatizo la Azam ni uongozi
 
Azam imewafungia wachezajo wao waandamizi. Mpumulea Dube Prince bado hajawa fit kucheza. Unapoteza mechi tena dhidi ya timu kama Yanga kisha unalia na kocha!? Tatizo la Azam ni uongozi
Kufungwa goli moja TU na pyramids ni ushahidi kuwa Azam sio mbaya sana. Ila Azam inatafunwa na mahaba Yao kwa Simba. Wanaofanya Azam kitalu Cha Simba.
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2
KMC P2 yan timu zote alizocheza nazo ni vilaza tupu kwa msimu huu isipokuwa Kagera ambao kwenye ile mechi walionewa tu na mwamuzi.

Michezo ya SIMBA SC.
Dodoma jiji P10
Polisi P9.
Biashara P5.

UTO NI TAKATAKA KAMA TAKATAKA NYINGINE ULE NI MOTO WA MABUA TU.
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2...
Kibonde cha kwanza ni simba mbona unaitoa au dishi limeyumba kidogo! Takataka ya kwanza ni simba iliyopigiwa mpira mkubwa ikapoteana ikaingiza washambuliaji wao wote 3 na awakuambulia ata goli la offside, na wakapewa kichapo mujarabu, sasa sijui umesahau au unajitoa ufahamu?
 
Kibonde cha kwanza ni simba mbona unaitoa au dishi limeyumba kidogo! Takataka ya kwanza ni simba iliyopigiwa mpira mkubwa ikapoteana ikaingiza washambuliaji wao wote 3 na awakuambulia ata goli la offside, na wakapewa kichapo mujarabu, sasa sijui umesahau au unajitoa ufahamu?
Nasema hivi "UTO NI TAKATAKA" kama takataka nyingine.
 
Kama timu itapoteza mechi yake dhidi ya Yanga ya sasa ijue kuwa sio uzembe wa kocha, wachezaji Wala viongozi, imefungwa na timu Bora nchini kwa msimu huu wa 21/22. Hivyo ni kosa kuwa kuchukuwa maamuzi dhidi ya kocha, mchezaji au kiongozi wa timu...
Stupid analysis,

Kwa hiyo azam kafungwa moja na putamids alafu lafungwa 2 na yanga basi yanga ni bora zaidi ya puramids ilihali walifurumushwa home and away ma rivers united ambao sidhani kama wana chansi hata ya kudroo ma pyramids?
 
Kufungwa goli moja TU na pyramids ni ushahidi kuwa Azam sio mbaya sana. Ila Azam inatafunwa na mahaba Yao kwa Simba. Wanaofanya Azam kitalu Cha Simba.
Una haki yankuwa topolo kwa kauli hii. Tena topolo lililoiva....
 
Kibonde cha kwanza ni simba mbona unaitoa au dishi limeyumba kidogo! Takataka ya kwanza ni simba iliyopigiwa mpira mkubwa ikapoteana ikaingiza washambuliaji wao wote 3 na awakuambulia ata goli la offside, na wakapewa kichapo mujarabu, sasa sijui umesahau au unajitoa ufahamu?
Hajahesabu hata pasi walizopigwa ile siku bata fc ni tatizo
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2
KMC P2 yan timu zote alizocheza nazo ni vilaza tupu kwa msimu huu isipokuwa Kagera ambao kwenye ile mechi walionewa tu na mwamuzi.

Michezo ya SIMBA SC.
Dodoma jiji P10
Polisi P9.
Biashara P5.

UTO NI TAKATAKA KAMA TAKATAKA NYINGINE ULE NI MOTO WA MABUA TU.
Achana na akili ya majuha.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2
KMC P2 yan timu zote alizocheza nazo ni vilaza tupu kwa msimu huu isipokuwa Kagera ambao kwenye ile mechi walionewa tu na mwamuzi.

Michezo ya SIMBA SC.
Dodoma jiji P10
Polisi P9.
Biashara P5.

UTO NI TAKATAKA KAMA TAKATAKA NYINGINE ULE NI MOTO WA MABUA TU.
Kumbuka michezo 2 aliyoshinda simba timu pinzani zilikuwa pungufu!
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2
KMC P2 yan timu zote alizocheza nazo ni vilaza tupu kwa msimu huu isipokuwa Kagera ambao kwenye ile mechi walionewa tu na mwamuzi.

Michezo ya SIMBA SC.
Dodoma jiji P10
Polisi P9.
Biashara P5.

UTO NI TAKATAKA KAMA TAKATAKA NYINGINE ULE NI MOTO WA MABUA TU.
Hao Azam unaowaona vilaza utakutana nao tu ngoja muda ufike
 
Kwa kiluga chetu tunasema ule ni moto wa mabua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Stupid analysis,

Kwa hiyo azam kafungwa moja na putamids alafu lafungwa 2 na yanga basi yanga ni bora zaidi ya puramids ilihali walifurumushwa home and away ma rivers united ambao sidhani kama wana chansi hata ya kudroo ma pyramids?
Ingawa rivers united ilicheza na Yanga pungufu bila Mayele l, Juma na Aucho, lakini rivers sio timu ya mchezomcjezo.

Mwangangu kubali kuwa gari la Yanga imewaka kaeni chonjo. Hata Yanga haikuwa na ubishi misimu iliyopita hasa baada ya manji wetu kuvurugwa hatukuwa na ubishi kuwa Simba hatuwawezi. Na nyinyi ni zamu yenu kukubali kuwa Yanga ni timu nzuri msimu huu na kama utaendelea kubisha Iko siku utapata ugonjwa wa moyo au sonona.
 
Timu alizocheza na UTO.
Kagera sugar P8
Azam P4
Geita g P2
KMC P2 yan timu zote alizocheza nazo ni vilaza tupu kwa msimu huu isipokuwa Kagera ambao kwenye ile mechi walionewa tu na mwamuzi.

Michezo ya SIMBA SC.
Dodoma jiji P10
Polisi P9.
Biashara P5.

UTO NI TAKATAKA KAMA TAKATAKA NYINGINE ULE NI MOTO WA MABUA TU.
Mbona hujaiweka matokeo ya mechi ya kwanza kabisa ya kuzindua ligi! Yaaani Ngao ya Jamii!! Au makande uliyokula mchana yamekuvuruga akili mkuu!!
 
Mbona hujaiweka matokeo ya mechi ya kwanza kabisa ya kuzindua ligi! Yaaani Ngao ya Jamii!! Au makande uliyokula mchana yamekuvuruga akili mkuu!!
Mechi ya kuzindua. Pwahahahahahahah!!!😀🤣🤣 UTOPOLO BWANA. Kelele nyingi kama chura mtoni.

Kwahiyo Ngao ya Hisani ni Uzinduzi wa Lingi!?
Mzee ngao ya hisani ni michango kwa ajili ya yatima, wasiojiweza nk. Ngao hiyo hainachochote nyuma yake. Pesa zote hupewa maskini.

Ligi huwa inaanza kwa point. Yanga hawajacheza na Simba kwenye Ligi hii mpya MWANANGU.
 
Mechi ya kuzindua. Pwahahahahahahah!!!😀🤣🤣 UTOPOLO BWANA. Kelele nyingi kama chura mtoni.

Kwahiyo Ngao ya Hisani ni Uzinduzi wa Lingi!?
Mzee ngao ya hisani ni michango kwa ajili ya yatima, wasiojiweza nk. Ngao hiyo hainachochote nyuma yake. Pesa zote hupewa maskini.

Ligi huwa inaanza kwa point. Yanga hawajacheza na Simba kwenye Ligi hii mpya MWANANGU.
Kama akili yako ndio inakomea hapo, basi tena. Kama ingekuwa hivyo mwamedi asingejiuzulu, angeichukulia mechi kama bonanza tu
 
Back
Top Bottom