Kibonde cha kwanza ni simba mbona unaitoa au dishi limeyumba kidogo! Takataka ya kwanza ni simba iliyopigiwa mpira mkubwa ikapoteana ikaingiza washambuliaji wao wote 3 na awakuambulia ata goli la offside, na wakapewa kichapo mujarabu, sasa sijui umesahau au unajitoa ufahamu?