Yanga ya sasa sio kipimo kizuri cha kumfukuza kocha wenu

Hahhaha!! Ndio uwezo wako wa kuchambua umeishia hapo!?
Kama akili yako ndio inakomea hapo, basi tena. Kama ingekuwa hivyo mwamedi asingejiuzulu, angeichukulia mechi kama bonanza tu
 
Humuwezi coastal bro utamuweza Yanga?
 
Kaka Simba ni kibonde hasa, hata wenyewe wameanza kulielewa SoMo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…