Yanga yaachana na Winga Tusila Kisinda

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
===

Klabu ya Yanga SC imeachana na mchezaji raia wa Congo DR, Tuisila Kisinda ikiwa ni baada ya mkataba wake kuisha ndani ya klabu hiyo.

Taarifa ya Yanga imesema "Tunamshukuru Kisinda kwa mchango wake katika kipindi chote alichokuwa nasi na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya nje ya Young Africans SC".
 
Walisema amerudi kumkimbiza zimbwe ila cha ajabu alikuja kuzurura tu na leo anaondoka.

Sema nimejisikia vibaya sana maana kakaake zuwena alikuwa akipangwa first 11 nafurahi sana maana alikuwa anapunguza idadi ya wachezaji uwanjani.
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…