Yanga yaachana na Winga Tusila Kisinda

Walisema amerudi kumkimbiza zimbwe ila cha ajabu alikuja kuzurura tu na leo anaondoka.

Sema nimejisikia vibaya sana maana kakaake zuwena alikuwa akipangwa first 11 nafurahi sana maana alikuwa anapunguza idadi ya wachezaji uwanjani.
Ana medal 4 zimbwe ana medal 0
 
Waarabu sijui walimfanya nn karudi hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…